Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Mwendelezo tu wa kuchafuana!
Mzee wa msoga anasikilizia tu, sasa familia yake imeanza kuguswa nadhani ataanza kutuelewa ukawa kuwa huu utawala aliotuachia umejaa chuki na visasiLet's wait...
Lazima hili gazeti lipewe onyo kali,
Mzee wa msoga anasikilizia tu, sasa familia yake imeanza kuguswa nadhani ataanza kutuelewa ukawa kuwa huu utawala aliotuachia umejaa chuki na visasi
Wewe ni ukoo huo. Maana jina lako umefupisha hukuandika ''ya'' peke yakeMwendelezo tu wa kuchafuana!
Majuzi alienda sauzi kwa matibabu (sijui ya presha) Sasa wanayaibua tena! Watamrestisha in peace mzee wa watu jamani.Mzee wa msoga anasikilizia tu, sasa familia yake imeanza kuguswa nadhani ataanza kutuelewa ukawa kuwa huu utawala aliotuachia umejaa chuki na visasi
Maelezo yako ni mazuri ila umekosea hapo mwisho ulipotoa maneno ya kashifaKuchunguzwa Riziwani kuna visasi na chuki za nini wakati ndiyo familia iliyopachika uongozi uliopo baada ya mwanafamilia yao kuangukia pua?
Huyu mtu alituhumiwa muda mrefu na watu wamepiga kelele kwa nini hakamatwi na watu wakaanza kutoa hisia mbalimbali. Kuchunguzwa kwake kumekuwa chuki na visasi? Nani anahaki ya kuchunguzwa na nani hatakiwi kutuhimiwa?
Acheni ujinga.
Na yeye anaisoma namba, walifikiri ni ukawa tu ndiyo wataisoma nambaMajuzi alienda sauzi kwa matibabu (sijui ya presha) Sasa wanayaibua tena! Watamrestisha in peace mzee wa watu jamani.
Mbona mbowe amechafuliwa na mmekaa kimya, mkuki kwa nguruwe.... na bado inatakiwa akasachiwe nyumbani kwakeKuendelea kuichafua familia ya mstaafu Rais wa awamu ya Nne ni chuki na fitna dhidi yao,wangapi mna ushahidi kama mmoja kati ya family member anahusika na haya mnayoyasema,huyu ni mmoja kati ya wabunge wabunifu sana jimboni kwake acheni kurudisha nyuma jitihada zake za kuleta mafanikio jimboni kwake,kwa kuchafua jina lake.