Gazeti Jamhuri: Ridhiwani ndie mtoto wa kigogo kwenye list ya tatu; sasa nae kuchunguzwa

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,885
IMG_3488.JPG
 
Mzee wa msoga anasikilizia tu, sasa familia yake imeanza kuguswa nadhani ataanza kutuelewa ukawa kuwa huu utawala aliotuachia umejaa chuki na visasi

Kuchunguzwa Riziwani kuna visasi na chuki za nini wakati ndiyo familia iliyopachika uongozi uliopo baada ya mwanafamilia yao kuangukia pua?

Huyu mtu alituhumiwa muda mrefu na watu wamepiga kelele kwa nini hakamatwi na watu wakaanza kutoa hisia mbalimbali. Kuchunguzwa kwake kumekuwa chuki na visasi? Nani anahaki ya kuchunguzwa na nani hatakiwi kutuhimiwa?

Acheni ujinga.
 
Kuchunguzwa Riziwani kuna visasi na chuki za nini wakati ndiyo familia iliyopachika uongozi uliopo baada ya mwanafamilia yao kuangukia pua?

Huyu mtu alituhumiwa muda mrefu na watu wamepiga kelele kwa nini hakamatwi na watu wakaanza kutoa hisia mbalimbali. Kuchunguzwa kwake kumekuwa chuki na visasi? Nani anahaki ya kuchunguzwa na nani hatakiwi kutuhimiwa?

Acheni ujinga.
Maelezo yako ni mazuri ila umekosea hapo mwisho ulipotoa maneno ya kashifa
 
Kuendelea kuichafua familia ya mstaafu Rais wa awamu ya Nne ni chuki na fitna dhidi yao,wangapi mna ushahidi kama mmoja kati ya family member anahusika na haya mnayoyasema,huyu ni mmoja kati ya wabunge wabunifu sana jimboni kwake acheni kurudisha nyuma jitihada zake za kuleta mafanikio jimboni kwake,kwa kuchafua jina lake.
 
Kuendelea kuichafua familia ya mstaafu Rais wa awamu ya Nne ni chuki na fitna dhidi yao,wangapi mna ushahidi kama mmoja kati ya family member anahusika na haya mnayoyasema,huyu ni mmoja kati ya wabunge wabunifu sana jimboni kwake acheni kurudisha nyuma jitihada zake za kuleta mafanikio jimboni kwake,kwa kuchafua jina lake.
Mbona mbowe amechafuliwa na mmekaa kimya, mkuki kwa nguruwe.... na bado inatakiwa akasachiwe nyumbani kwake
 
Rasmi mtu anatafutiwa JIK,report itatoka na press conference juu ya mubashara kuwa hahusiki na ndie anayeunga mkono vita hii!!

Mfunga gidamu wake,aliyepewa ukuu wa wilaya siku ya birthday yake na mshua,unataka akate tawi alilohifadhia masaburi/kukalia??

Kwa nini Riziki one hakukakamatwa na kuhojiwa kama wakina Manji,Gwajima na hata Mbowe?!

Ikiwa boss wa madawa kashasema watawala wa serikalini hawahusiki,mtoto wa raisi aliyetawala miaka 10 anaanzanje kumtaja?

Kweli hii ni awamu ya VI-WONDER,kula kukicha new episode,mwendo wa isidingo tu!!

DNA za faru john vipi? Miili 7 ya Bagamoyo vipi?
 
Back
Top Bottom