Recent content by mbu dume

  1. M

    Umri sahihi wa mtoto kuota meno

    Mi Wa kwangu meno yaliharibika tangu akiwa na miaka 3, tukampeleka hospital kun'goa, ila mpaka sasa anamiaka 6 bado hayajaota, sifahamu yataota akiwa na umri gani
  2. M

    Ipi Gari bora kati ya T Harrier,Escudo na RaV4 or RAVj?

    Umenichekesha sana, matako ya bibi ndo ipoje hii?
  3. M

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Hapana, huo wimbo Wa enya unaitwa wild child
  4. M

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta wimbo Wa prof jay unaitwa msinitenge,
  5. M

    AJALI: Mabasi ya Mwendo Kasi yagongana eneo la Shekilango na kusababisha foleni kubwa Morogoro road

    Tayari Huduma za usafiri zimeanza kulejea Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Hisa za Vodacom zimeanza kuuzwa leo tarehe 15/8/2017

    Usiwe mtu Wa kuhoji sana hata Kwa mambo ambayo yako wazi, Mimi mwenyewe nilienda kwenye ofisi zao pale kijitonyama na nikapata Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Hisa za Vodacom zimeanza kuuzwa leo tarehe 15/8/2017

    Ulinunua Kwa njia gani kiongozi? Kama Kwa njia ya simu fika pale kijitonyama ofisi za Maxcom floor ya kwanza utapata, ila beba na kitambulisho chako, kama ulinunia bank, fika sehemu uliponunulia Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Mliofanya malipo HESLEB kupitia mpesa njooni niwadokeze kidogo

    Machache umepatia, ila mengine umeongopa. Siyo kweli kuwa account ya malipo ikizidiwa inakuwa frozen, frozen itawekwa endapo tu kama kuna internal syterm fault zinazofanya watu walipie malipo ila pesa hazifiki upande Wa pili, Kwa hiyo hulazimika kuifreeze Kwa muda ili kulekebisha tatizo, na...
  9. M

    Hili la hisa za vodacom limekaaje?

    Hakuna ukomo kwenye IPO, mtu anaweza nunua hisa Mara nyingi atakavyo, baada muda uliowekwa kuisha ambao ni wiki sita tangu kutangazwa kuuzwa, baada ya hapo wanaingia kwenye kipindi cha allotment, ambapo wataangalia nani kanunua hisa ngapi, na je upewe zote, au upewe chache, na kama wataamua...
  10. M

    Hili la hisa za vodacom limekaaje?

    Kima cha chini cha kununua hisa ni hisa 100, ambapo hisa moja itauzwa sh 850, kumbe basi, kima cha chini ambacho mtu atanunua anapaswa kuwa na sh elfu themanini na tano(85,000), Vodacom wanauza hisa million 560,
  11. M

    Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

    Weka picha basi tukuone!! Maana Isijekuwa tunafanana sura,
  12. M

    Akili kubwa kuhusu Diamond Platnumz Vs Ali Kiba

    Hebu tuache unafiki, kila mtu ana sauti, hata diamond pia anasauti nzuri, na anajua pia kupangilia sauti, kuwa na sauti nzuri au mbaya ni kitu kimoja, kuweza kuitumia hiyo sauti ikutoe ni kitu kingine, diamond anafanya mziki kimataifa, na hata yeye pia anajiweka kisanii zaidi, alikiba, akubali...
  13. M

    Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

    Elfu 30 IPO pale pale Ubungo terminal upande Wa pili ukifuata ile njia inayienda mabibo, hatua chache kuna hotel pale ya ghorofa, vyumba visafi pia
Back
Top Bottom