Recent content by mbota

  1. mbota

    Angela Kizigha anaenda kua Waziri

    Unfortunately! It’s going to happen
  2. mbota

    Vifaa bora vya umeme, Kariakoo

    Waya single unauzaje 2.5 na 1.5 kampuni gani unayo hizi waya
  3. mbota

    Hawa Halotel mboni Mtandao mzito hivi?

    Pole sana mimi nimeachana nao kabisa kwanini ujipe stress kwa kitu kinacho epukika
  4. mbota

    Hela inatafutwa kwa nguvu jamani, mmh!

    Elon musk anasema Whoever said “money can’t buy happiness” really knew what they were talking about 😔 Japo unaweza ichukulia kama meme💯
  5. mbota

    Hela inatafutwa kwa nguvu jamani, mmh!

    THE TURTLE THEORY: Slow is smooth. Smooth is fast. The turtle wins because it moves consistently, protects its energy, and never quits. No rush. No panic. No burnout. Just steady progress, every single day. 💎 Rule: Speed impresses people. Consistency changes lives.
  6. mbota

    Ni nani aliyemwambia Mathayo kuhusu tukio hili Yesu au Shetani?

    Haya maandiko yanatokea kwa Zaburi hivyo shetani alikoti tu kutokea kwenye zaburi. Alikuwa anafanya reference mkuu “Kwa kuwa atawaagiza malaika wake kwa ajili yako, wakulinde katika njia zako zote. Watakuchukua mikononi mwao, ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.” ‭‭Zaburi‬ ‭91‬:‭11‬-‭12‬ ‭NEN‬‬
  7. mbota

    Hela inatafutwa kwa nguvu jamani, mmh!

    Kabisa dunia haitakuwa na huruma mfano kama umefuatilia ishu ya Jaffrey Epstein nadhani utaelewe na kwanza mfumo wa dunia hauwahitaji watu kama hao wenye huruma nilishangaa sana kusoma post mahala kuwa utajiri mkubwa upo kwenye umaskini yani kuwa tu maskini wa kifkra unaopelekea umaskini halisi...
  8. mbota

    Hela inatafutwa kwa nguvu jamani, mmh!

    Hapa ndio point ilipo dada mkubwa kuishi maisha ya shukrani kila siku kuamka tu asubuhi ni utajiri mkubwa sema wengi tumeji condition utajiri kwenye material things only kumbe utajiri ni kuwa na upendo, afya njema. Chukulia mfano wa kina chaba wahazabe fedha kwao si kigezo cha furaha yao Trump...
  9. mbota

    Nimehesabu mpaka sasa zaidi ya wanawake 150. Sijui hata nisemeje

    Sex ni spiritual energy exchange kama nilivyosema hapo juu sasa kuna good energy na bad energy kama unajua kujitakasa before and after sex good and well
  10. mbota

    Nimehesabu mpaka sasa zaidi ya wanawake 150. Sijui hata nisemeje

    spiritually ni hatari sana Sex means spiritual exchange kati yako na hao wanawake inamaana kama umepiga mihuri 50 humo humo kuna mibalaa mikosi yakutosha You’re drifting bro
  11. mbota

    Wa KKKT wengi wana kinyongo na Malasusa wanatamani kuhamia RC

    Mimi rasmi sitajihusisha na mchango wowote KKKT
  12. mbota

    Gypsum bora kwa sasa

    Nahitaji double elephant bei ya jumla wanauzaje
  13. mbota

    Baada ya kuchoka ma subwoofer ya seapiano nimejaribu kufunga mziki huu nyumbani

    Mziki mzuri kama una mudu bei tafuta JBL ni mwisho wa matatizo
Back
Top Bottom