Recent content by mbogojnr

  1. mbogojnr

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Naweza pata mafundi wa kufunga range hood ya kutok Naweza kupata mafundi wa kufunga range hood ila inayohitaji kutoboa ukuta
  2. mbogojnr

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina Samsung S7 Edge imeharibika kioo ila bado mpya nilijidanganya kuwekewa liquid sijui nini lakini ikaniharibia simu yangu. Naweza kuiuza bei gani?
  3. mbogojnr

    Kwa matatizo ya gari

    Nina Toyota IST cc 1290 nataka kujua kama kuna madhara yoyote ya kwenda nayo masafa marefu mara kwa mara yaani kila baada ya miezi miwili ama mitatu. Asante
  4. mbogojnr

    Magufuli ameshashinda katika hili la foreign policy. USA hawana namna lazima wam-deport

    Mama gani huyo mkuu wengine historia imetupitia pembeni kidogo
  5. mbogojnr

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Pole sana mkuu,nahisi hutorudia tena mchezo huo
  6. mbogojnr

    Hizo chale ni wanawake tu au hata wanaume pia wanazo?

    Hizo ni kwa wanawake tu ili muwavute wanaume
  7. mbogojnr

    Nani anagharamia matumizi ya Lema, Msigwa na Mbowe huko Nairobi?

    Sijui ni busara kumpangia mtu matumizi ya pesa zake,mhe zitto,mhe nyalandu ambaye amerudi kwa mara ya pili na wengine wengi wanaoenda huko kwa nini nao usiwajumuishe katika hili la kupunguza gharama na pesa zao zitumike kama mchango
  8. mbogojnr

    Je, roho inaweza kujidhuru?

    Mshana hapa nina kitu cha kushare ambacho kilinitokea ila namshukuru Mungu nilipambana nacho nikakishinda. Nakumbuka kuna siku nililala ila nikagundua pumzi inaniishia nikaamka na ikawa kila nikitaka kusinzia naona naishiwa pumzi naamka nikapambana na hii hali hadi saa tisa usiku nilipoamua...
  9. mbogojnr

    Somo la meditation: utajuaje kama unafanya kwa sahihi?

    Wengine hatukutana na somo lako la namna nzuri ya kumeditate hebu tunaomba utuambie tafadhali
  10. mbogojnr

    Wakoloni walituletea dini kama kinga kwao ili watutawale

    Huwa naumia sana pale ninapozungumza na marafiki zangu ambao ni walokole nikawataka wawafanye viongozi wa makanisa yao wawe countable kwa sadaka na zaka wanazotoa, huwa wepesi sana wa kukasirika wakidai hayo wanamwachia Mungu wanachoangalia wao ni kuwa maombi yao kwa kupitia hao viongozi wao...
  11. mbogojnr

    Wakoloni walituletea dini kama kinga kwao ili watutawale

    nadhani hujamuelewa huyo ndugu, ni kweli kuwa dini na Mungu ni vitu viwili tofauti ila dini ni njia ambayo wanadamu tumejiwekea ya kumfikia huyo Mungu ingawa sio lazima sana kwani kuna watu wanawasiliana na Mungu moja kwa moja bila kupitia dini
  12. mbogojnr

    Nahitaji betri ya HTC One MAx

    Ninahitaji betri ya HTC One Max kama kuna mtu anayo naomba aniinbox bei na jinsi ya kuipata pia aseme kama ni ya mtumba ama mpya na kama anaweza kuifunga kwenye simu yangu. Asanteni kwa msaada wenu.
Back
Top Bottom