Labda kama ameshindwa tofautisha riba na rushwa BT kama ni riba hiyo nikawaida na mkopo huwa kuna ada ya kuprocess .pia bank nyingi huwa hazitoi mikopo chini ya 1.5m hiyo nikazi ya Saccos. Take care rushwa ni adui wa khaki yako.
Katika mitandao yakijamii nimeona moja ya video ambayo MTU kapata ajari cha ajabu ambacho Mimi nimehisi, watu waliokuna na opportunity yakumsaidia muhanga walikua wana record tukio.
Leo kwake, kesho kwako.
Tutafakari na tuchukue hatua.
team ladyjaydee# sidhani kama analo as longer hatujui kwa nini wameachana let's support kile anachofanya .kwa wale wapenzi wa outing nenda kapate lunch, dinner MOG
Unfortunate si mshabiki wa vyama au siasa lakini mshabiki wa +ve idea ya MTU yeyote wa wing yoyote as long haina -ve impact kwangu nakwajamii kwa ujumla.
Siamini kama kweli mnaweza kuwa mti mwema maana nahidi siku zinavyokwenda uzandiki unazidi .itafikia hatua media itafuatiliwa na watu wa maeneo Fulani tuu hasa wanaoendekeza mambo kama yenu.
Tubadilike. Unafiki , kugombanisha watu sio poa jamani.
By ze way media media ndio sababu kiba hana kosa kama kaitwa kwenye media hawezi kataa au hawezi jichagulia maswali, kutompenda MTU kiafrica ni nature tuu nadhani hata wewe kuna watu huwapendi na hauna sababu. Cha msingi hapo Diamond kawa icon yetu Tumsuport atuwakilishe zaidi .nampenda Kiba kwa...
Kwa urahisi kama umechukua tigo na upo dar es salaam nenda science nyuma ya jengo LA science kuna office za rotasi Africa wanahusika na simu za huawei za tigo .huduma ni free ukifika piga no. 0653789006 utasaidiwa hapo
Mstaarabu wa kweli hasubiri mwezi mtakatifu/ mwezi wa mfungo kufanya yaliyo mema machoni kwa watu.
My take tuachane na utaratibu wa vurugi fujo zisizo za maana wakati wakufungua na baada ya kufungua.
Si ajabu kuona MTU kesho kaamkia bar ,guest kisa alikua mfungo na kafungua .tunakua hatujafanya...
Wanasiasa wanatafuta nguvu ya pamoja baada ya hapo tutegemee malumbano Kati ya chademu na cuf maana siasa za kibongo zimetawaliwa na uroho wa madaraka. Hakuna mwema hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.