Akili haikusetle kabisa kesho kwenda kibaruani
Inshaalah bora uvumilivu kuliko kuharibu swaumu kwa masaa machache yaliyosaliaMufti mkuu wa Tanzania (Sheikh Issa Shaban bin Simba) asema mwezi haujaonekana sehemu zote nchini. Kesho waislam wote waendelee na swaumu na keshokutwa ndo swala ya Eid itafanyika. Source: TBC 8pm news.
Yaani mnategemea Mwezi, Kwanini Msimuulize Allah? Kwani Allah na Mwezi nani ni ABKAR?
KUMBE MWEZI NDIYE MOLA MLEZI ANAYEABUDIWA NA WAISLAMU!
Q6:77 SURAT AL - AN-A'AM
Alipo uona mwezi unachomoza alisema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Ulipotua asema:Kama Mola Mlezi wangu hakuniongoa, nitakuwa katika kaumu walio potea.
HII NDIYO SIRI YA ILE NYOTA NA MWEZI ILIYO JUU YA KILA MSIKITI!
"ALLAHU AKBAR"
Sasa Mwezi kuchagua siku ya Kufungua. Tuusubiri Mwezi.
Mi sichangii chochote
Kisheria iddi ni kesho j3 ila kibakwata iddi ni keshokutwa j4.
Acha kukurupuka wewe Kipanga sio kila kitu lazima ujibu.......
Sijui kwanini huwa wana kiherehere cha kutangaza haraka haraka badala ya kusubiri kusikia toka nchi nyingine duniani.
Sijui kwanini hawatengenezi calendar ili tukaachana na huo mfumo wa kizamani wa kusubiri kuuchungulia mwezi angani. Dunia ya leo kuna technology ya kutosha tu kuweza kulijua hili kwa accuracy ya 100%. Waislamu wa dhehebu la Shia wao wanafuata calendar na wao Eid ni kesho.
The moon is the guiding light of ALL Islamic rituals & festivals. You can't change this practice.