Shule ya msingi Shoga Chunya Tanzania

Shule ya msingi Shoga Chunya Tanzania

Kule Kibondo kuna shule ya msingi inaitwa "Kanya-Mahela" Primary school na kule Tabora kuna kituo kinaitwa "Utoko" na pande za Newala kuna kitongoji kinaitwa "Nibandueni"
 
Ndugu, Wanyakyusa hawatokei Chunya. Chunya wanaishi Wabungu na Wasafwa. Hilo ni jina la ukoo huko Chunya kama ilivyo ukoo wa Senge huko Singida

Kwahyo kuna mtu anaweza kuitwa John Shoga
 
Nahisi kwa kikwao huku inamaanisha vingine ila kabla ya kuipa shule jina unatakiwa ugoogle kupata maana nyingine ya hilo jina kwa kiswahili lugha ambayo ni ya watanzania wengi. Kuna maneno mengine ya kikabila ni matusi makubwa kwa kiswahili mimi niliwahi kusoma na msichana wa kisukuma anaitwa kuhuma ilibidi tumpe nick name

Google tumeanza ijua miaka ya hapa karibuni mkuu
 
Neno lenyewe ni la kimuktadha shoga lina ukakasi kwa mwanaume kuitwa hilo jina
Lakini mwanamke kwa mwanamke wakiitana shoga fresh na haina shida hata kidogo
 
haha ha na kule SENGE nako mkuu mana wananch wa kule wanaitwa ------- kama walivyo wakibosho wamarangu etc
 
Duh. Unaulizws kunye interview eti shule ya msingi Umesoma wapi? Hapo sasa eti nimesomashoga primary School duh mbona wataguna
 
dah Tanzania ni zaid ya uijuavyo.. hivi kwel watu wamekaa weee wameumiza vichwa weee wakaamua kuiita SHULE YA MSINGI SHOGA!! soon utaskia bahsha high school
 
dah Tanzania ni zaid ya uijuavyo.. hivi kwel watu wamekaa weee wameumiza vichwa weee wakaamua kuiita SHULE YA MSINGI SHOGA!! soon utaskia bahsha high school

Tatizo mnabeba tafsiri ya Kiswahili kwa jina la Kibungu! Ni makosa. Waulize wanaotoka Chunya Mbeya, maana ya jina hilo.
 
Tatizo mnabeba tafsiri ya Kiswahili kwa jina la Kibungu! Ni makosa. Waulize wanaotoka Chunya Mbeya, maana ya jina hilo.

mkuu pata picha ingekua shule sekondari then mtoto amefaulu pale utampeleka?
 
Kule mkoani Arusha, kuna ukoo wa "mboro", halafu kule Kagera kuna mto "Ngono" pia na kata ya "Katerero" je na majuna haya wewe unayatafsiri vipi? ...Hapo bado hatujaingia ktk nchi za watu km Japan,wee...utakaa chini kwa mshangao ama kicheko
 
Mbona kuna baa inaitwa Simba Kapakatwa? Kapakatwaje sasa?
 
Nimepigwa butwaa kukuta shule inaitwa hilo jina la SHOGA hasa ukizingatia mkanganyiko wa kimaadili unao ikumba nchi yetu kwasasa kutoka na kushamiri kwa vitendo vya Ushoga. Nashauri wizara ya Elimu ione umuhimu wa kubadilisha jina la shule hiyo.

View attachment 169131

Sishangai Mimi Mwenyewe Naitwa Alfred Ntombeni
 
Si nasikia huko Moro kuna kituo kinaitwa Senge!
Shida inakuja konda anapouliza -------! na wewe unajibu tuache ngoja nicheke kwanza kabla wewe hujacheka kwi kwi kwiiiiiiiih.
 
Hii nchi ina majina mengi sana ukiyatafsiri unavojua wewe unaweza hata kujionea aibu, kadhalika watu wana majina ya matusi makubwa sana..... chukulia poa mzee
 
Katika lugha tuna kitu kinaitwa "semantic pejoration" where a word is assigned a negative meaning from the original meaning. Hapo mwanzo neno "shoga" lilitumika kwa marafiki wa jinsia ya kike lakini baada ya wanaume pia kuanza kushiriki vitendo ambavyo ni vya kike basi nao wakaanza kuitwa mashoga.
Kuna haja ya serikali kuliangalia hilo ikibidi walirekebishe kulingana na hali halisi ya sasa.

Pia neno "chunya" kikwetu ni tusi la aibu sana
Pia kuna jina "mayasa" kwa jamii ya wanyambo/wahaya ni tusi la aibu.

Hata hivyo mwalimu wangu wa linguistics aliwahi kunifundisha kuwa "the word is not the problem, the problem is the meaning you assign to that word''
 
Back
Top Bottom