Jambo hilo lilishatolewa ufafanuzi mda mrefu na gavana alisema hii kodi italipwa na mtumiaji Wa mwisho Wa Huduma za kibenki na sio benki husika...benk zote zilishaanza utekelezaji mapema sana ,huenda hao stanbic walikua wanausoma mchezo kwanza...lkn tunaumia sisi wananchi Wa kawaida na sioni...
Pole sana Leah..
Swala lililopo hapo ni kuangalia pia kua je mumeo anaonekana kujutia kitendo alichofanya au laa..maana unaweza msamehe lkn bado still akaendelea kua na mahusiano na mdogo wako na lkn pia unaweza kumuacha mumeo ili umpe room mdogo wako Wa kuvinjari lkn pia akaachwa..coz nafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.