Mume wa mtu ananipa wakati mgumu

Mume wa mtu ananipa wakati mgumu

Lady wakeup unalilia vitu lakn nakuambia if u accept to be the second u will never be the only one,wear the shoes of that wife then think, hua naona muaribifu wa ndoa yamwingine ni muuaji muite that men tena mueleze alafu naomba kujua dini yako, if xtian u r so sorry sijui km upo deep kiimani situ kama unamuogopa mungu sawa umeingia mkenge BT u will never be bless on a mess
 
Duh! First try and figure out lengo lake la kumwambia mkewe. Is it because he plans to officially leave her for you or was it in hopes that you and the missus can come to terms with the situation and live in harmony moving forward? If it's the former, and you do love or still want to be with him then I'll say go for it! Though at this point for me ingekua shida kumuamini. 4+ years of keeping such a crazy secret...........It seems like he wants to have his cake and eat it too.
Mwenzio ameongea kiswahili wewe unaandika kizungu ndiyo tujue msomi sana au
 
Dada hayo ni majanga cz kama MTU Ana mke tayari Na familia yake unajua wewe utakuwa Na makosa Na mungu pia hapenda Na inawezekana sasa hata hata mke wake wa ndoa atakuwa hamjali Na pamoja Na watoto wake Mimi nakushauri Dada yangu umuache huyo mume wa mtu
 
Sitakuwa na mengi ya kushauri maana hata sisi wengine tuna yetu na tunaya-solve hivyo hivyo,ushauri wangu:mfanyie surprise mwambie twende kwa mkeo kisha weka hizo documents za viwanja kwenye mkoba na pesa alizokuongeza kwenye ununuzi wa gari ukifika ongeeni mtavyoongea ila mwisho muombe mkewe msamaha kisha mkabidhi hizo pesa na document za viwanja kwamba Mrs Fulani eeh hivi vitu ameninunulia mumeo naomba nikukabidhi na mpe ahadi yakumwachia mmewe.kama utakubali kumuacha na mali zake unazo utakuwa umefanya dhuluma mbaya au utaendelea kuzini nae.
 
Jipe mda wa kutafakari yote yaliyotokea na wakati huo ukiusikiliza moyo wako, chochote utakachoamua kukifanya zingatia Amani ya nafsi yako pamoja na Furaha ya Familia yako.
 
whitehorse, I will give you only one simple advice; "Do what you think is the right thing for you to do." But remember the choice you are going to make will have its consequnces, either good or bad. So choose wisely!
 
Sijawahi kuona watu wanao pendana kama ninyi.
Ama kwa hakika mshikilie huyo jamaa, na usiogope wala usiwaze kuhusu mkewe, saaaana jihesabu kama mkewe wa pili na jitahidi uzoee hivyo.
Nikiunganisha maelezo yako yooote naona kabisa jamaa anakupenda kwa dhati, sema inawezekana alijikuta ameoa mke ambae badae aligundua hampendi na pengine ipo shida kwenye ndoa yake, na kwakua umesema kwamba ni mtu wa kupenda maisha ya usiri basi inawezekana aliamua tu kuishi na mkewe na asiyaseme matatizo yao nje kwa kupenda kutunza usiri.
Kimtazamo jamaa anakupenda kuliko anavyo mpenda mkewe.
Nawewe nikiyasona maandishi yako, naona yamejawa narangi ya mihemko ya wivu na donge la jakamoyo....[emoji12] [emoji12]
Ebu tulizana mama ufanye maisha aiseee.....
Kwanza bora hata huyo mume wa mtu anae kupenda kwa dhati kuliko single kaka atakae kupanga kama gari bovu.
Ebu ngoja niishie hapa aiseee..
na pale jamaa aliacha simu kimakusudi ili ke wake asikie maongezi,ula kama jamaa ni muslim amuoe mke wa 2
 
Ndo Yale Yale ya nyerere aliesema ukizoea kula nyama ya mtu hutaacha..sasa ndo yaliyopo sasa kumwacha unatamani Ila roho inakusuta
 
Itafika mahali tutarudi zama za mababu zetu. Midume ya kiafrika kuwa na mpenzi mmoja ni ngumu, sijui ni suala la genes.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom