mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Hatimae Mh.magufuli amtengeua mama malecela kuwa MKUU wa mkoa wa Shinyanga.Bado tunasubiri wengine bado wengi sana
Sio kwa Pombe mzee. Pombe ni hatarii sana mzee. Arudi moshi akalime migomba.Acha tusubirie sababu
Inawezekana akala shavu la ubalozi
Hahahahahaa! Magu bwana.Hatimae Mh.magufuli amtengeua mama malecela kuwa MKUU wa mkoa wa Shinyanga.Bado tunasubiri wengine bado wengi sana
kabisaAtakuwa mkoa wa mkuu aliyetumikia siku chache zaidi?
Sio kwa Pombe mzee. Pombe ni hatarii sana mzee. Arudi moshi akalime migomba.
Huko huko! Si umeelewa mzee.Hapana huyu si wa Moshi ni wa Same, labda ulimaanisha Kilimanjaro? maana huko kila sehemu watu wanapenda kupaita Moshi.
Huko huko! Si umeelewa mzee.