We mgonjwa kweli hivi ulishawai kuona makampuni wakilalamika kuwa wafanyakazi wao wameacha kufanya uzalishaji wamekimbilia kwenye mikutano,mfano tu viwananda vingi uwa vinakuwa na shift saa 12 asubuhi hadi saa 8 mchana,wanatoka wanaingia wengine hadi saa 4 usiku wanatoka wanaingia wengine hadi...
Mzee vijana awapelekwi kwenye maandamano bali vijana wote tumechoka kupelekwapelekwa na maccm kwa hiyo sept 1 tutatoka wenyewe majumbani kwetu kwenda kufanya maandamano ya amani ya kupinga udikteta uchwara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.