Recent content by mbeyaboyfrancy

  1. mbeyaboyfrancy

    Vifurushi vya internet vimepanda bei ghafla, serikali iko wapi?

    Tafuta halotel lain ya chuo ndo utaenyoj vizur
  2. mbeyaboyfrancy

    Hii cable ina kazi gani?

    Dhaa online unanunuaje sasa isije ikawa kama kupatana.com
  3. mbeyaboyfrancy

    Msaada haraka: Tecno L8 haionyeshi icon ya caller phone

    Hata ukibonyeza hapo kwenye menu kuu haukion hiko kitu au
  4. mbeyaboyfrancy

    KYELA - Operesheni UKUTA yapokelewa kwa mikono miwili, yasubiriwa kwa hamu

    Katika mikoa yote tanzania uwa nawakubali watu wa mkoa wangu kuwa na umoja katika mambo ya msingi nitakuwa frontline kwenye UKUTA
  5. mbeyaboyfrancy

    Laudit Mavugo aanza "kurudisha" hela ya usajili Simba S.C.

    Unacheza na timu ya kumi na moja kwenye ligi halafu unajisifia sasa si bora mngewaalika ndanda fc
  6. mbeyaboyfrancy

    Anayejua kazi itakayoweza kunipa 15000 kwa siku

    Njoo njombe nikusindikize kwa mtaalamu baada ya hapo we mwenyewe utanitafuta kuja kunipa shukran Onyo vsiwe muoga
  7. mbeyaboyfrancy

    UKAWA majiji yetu yamewashinda?

    Wewe endelea kula panzi huko mtera na lusinde wako majiji yetu tuachie
  8. mbeyaboyfrancy

    Mkesha Wa Mwenge Sengerema ,Uzinzi ulevi kwa wanafunzi watawala

    Lete picha maana umedandia treni kwa mbele
  9. mbeyaboyfrancy

    "Hapa kazi tu" wakati serikali imeshindwa kuwapa kazi mamilioni ya vijana

    We mgonjwa kweli hivi ulishawai kuona makampuni wakilalamika kuwa wafanyakazi wao wameacha kufanya uzalishaji wamekimbilia kwenye mikutano,mfano tu viwananda vingi uwa vinakuwa na shift saa 12 asubuhi hadi saa 8 mchana,wanatoka wanaingia wengine hadi saa 4 usiku wanatoka wanaingia wengine hadi...
  10. mbeyaboyfrancy

    Lissu anamaanisha nini kuhusu "udikteta"

    Mzee vijana awapelekwi kwenye maandamano bali vijana wote tumechoka kupelekwapelekwa na maccm kwa hiyo sept 1 tutatoka wenyewe majumbani kwetu kwenda kufanya maandamano ya amani ya kupinga udikteta uchwara
  11. mbeyaboyfrancy

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Mkuu hivi hizi channel naweza zisave niwe nazipata kwa urahisi,kama inawezekana nasave vipi
  12. mbeyaboyfrancy

    Vigogo Somba SC Washikiliwa Polisi

    Somba fc ya wapi au ile ya moshi
Back
Top Bottom