Sio watu wote wanapesa nyingi. Hata China family twaingia jamiiforums!Mh.wazee China family
Sio watu wote wanapesa nyingi. Hata China family twaingia jamiiforums!Mh.wazee China family
Iyo L8 umenunua bei gani?
mna matatizo na tecno,me hapanakiukweli hizi Cmu za Tecno L6 na L8 zimependelewa uwezo wa battery mfano L6 ina 4500mAh na L8 ina kitu km 5600mAh hv
Laki na tisini 190Iyo L8 umenunua being gani?
L8 ni 5050mahkiukweli hizi Cmu za Tecno L6 na L8 zimependelewa uwezo wa battery mfano L6 ina 4500mAh na L8 ina kitu km 5600mAh hv
Kaka sio kama atupendi sony na masamsung tatizo pesamna matatizo na tecno,me hapana
tatizo ni wafanyabiashara wetu angalia hii simuKaka sio kama atupendi sony na masamsung tatizo pesa
Kweli kabisa wameklemisha masimu yakuletea sokonitatizo ni wafanyabiashara wetu angalia hii simu
Xiaomi Redmi 3 - Full phone specifications
nzuri kushinda hata j8 na bei yake ni around dola 100 tu,
pia ipo version ya dola 92 inatoka mwezi wa 8 ambayo nayo ni nzuri kuliko hata simu za laki 4 za bongo ikiwemo hao tecno.
kama una mtu unamfahamu kenya narecomend sana kununua simu za hawa jamaa, hakuna sababu ya kulalamika huna hela wakati unapata kilicho bora kama hiko
Nunua simu online uletewe mzigo safi.Kaka sio kama atupendi sony na masamsung tatizo pesa
Dhaa online unanunuaje sasa isije ikawa kama kupatana.comNunua simu online uletewe mzigo safi.