TECHNO8-ndio maana haionyeshi hiyo alama...Ndugu zangu.. naombeni msaada. Simu yangu TECHNO8 haionyeshi ile alama ya simu inayotumikia kupigia simu. Nimeitafuta kwenye secreen sehemu mbalimbali siioni kabisa..Naombeni msaada nifanyeje ili niirecove.
Asante
Sion chochote ..yaani imepotea na majinaHata ukibonyeza hapo kwenye menu kuu haukion hiko kitu au
Icon ya contacts ipo??Sion chochote ..yaani imepotea na majina
Pole . kuu jitahid inafunguka ila usitoe battery, battery zake in inbuilt na ni permanent hazitokagi, mimi mwenyewe natumia hiyoNdugu zangu kama mada inavyojieleza hapo juu, jana nimenunua simu ya TECNO L8 Lite.<br /><br />Lkn kwa uharaka niliokuwa nao nikasahu kuuliza namna ya kufungua mfuniko wa nyuma kwa ajiri ya kuweka line.<br /><br />Najua hapa wataalamu mpo simu imenishinda kufungua kabisa, naombeni ujuzi huo![]()