Recent content by mbaya wao

  1. M

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    Hatukarai Pakome kuweza kuhitajika zaid sokoni sababu ya umri wake. Tunachosema Ili afananishwe na chama acheze Kwa ubora Huu Kwa miaka zaid ya mitano. Ni kama kama Halland au mbape kufananishwa na Mess Au Ronaldo. Sio kwamba wabovu ila wanahitaji kuprove Kwa kuonyesha kiwango Chao Kwa muda...
  2. M

    Sporting Casablanca vs JKT QUEENS - CAF Women's CHAMPIONS LEAGUE 2023

    wamejitahid maana wachezaji wao sita wamewakosa wamerudi kucheza timu ya taifa
  3. M

    Haji Manara amtolea uvivu Feitoto kwa kuomba pesa

    Lakin mbona Yanga ndio imeanza Kwa kumuita kamati ya nidhamu kwanini wasingesubiri mechi zipite ndio yaje mambo ya kuitana kamati ya nidhamu. Au Yanga kupiga hatua mbele Kwa fei kipindi hiki ni sawa na fei kupiga hatua sio sawa. Naona Yanga kama timu wangetulia finali zipite ndio waanze kumuita...
  4. M

    Kuna mwamba alirudia Form II mara 8 katika shule nne tofauti na zote akafeli

    Kama ni kabla ya mwaka 2010 , paper ya form 2 ilikua inatungwa kikanda na kusahihishwa kikanda. Kanda ya Kati paper ilikua inavuja hatari, Yan kwa shule za mjin pale kama Dom sec,merriwa, viwandani, Jamhur, hijra, central,kndege, nk sidhan kama Kuna mwanafunzi aliyekua anakosa paper hata kama ni...
  5. M

    Necta 2023

    zilezile tu ila Sasa unatakiwa kutoa mifano na maelezo Kwa sensa ya 2012. Mifano 1.Sex ratio imekaaje, jinsia gan imezid 2.Mortality rate. 3.Age ratio. Idadi ya watoto vijana na wazee ipoje, dependent ratio usisahau kugusia 4.Population density hapa unaelezea unevenly distributed maeneo gan...
  6. M

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Redmi note 11s imekufa touch screen naweza kupata wap wadau
  7. M

    Kipi nisome kati ya Bed PPM, Bed ADM na Bed ADEC? A teacher already

    Umeajiriwa serikalini? Kama umeajiriwa, Fanya kozi tofauti mfano health management, accountancy, Business administration, procurement, physical education. Hizo kozi zitafanya uhamishwe idara ila bachelor ya ualim haikuongezei hata mshahara. Fanya kozi tofauti ila bachelor ya ualim Bora hiyo ada...
  8. M

    Je, kuna wakati Utawala wa Kidikteta unakuwa unafaa kuliko aina yoyote ile ya Utawala?

    Kwanza dikteta ni mtu mzalendo anayependa sana nchi yake. Anatamani Kwa muda mfupi nchi ipige hatua kubwa, Yan kufumba na kufumbua kuwe na lami, reli,bandari, stend nk. Yupo radhi kufanya lolote kukamiisha ndoto zake. Atakanyaga Katiba, hatafata Sheria na atalikamata bunge, ataua na kutesa...
  9. M

    Form five selection

    [emoji438]MCHANGANUO WA SELECTION FORM FIVE AND COLLEGE'S MWAKA 2023 [emoji406] [emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810] [emoji736]Kutokana na ufaulu wa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2022 kuongezeka kwa 2.9% zaidi ya ufaulu...
  10. M

    Nataka kuachana na ualimu haraka. Nikimbilie wapi?

    Kwa hiyo ni muajiriwa wa serikalini? Kasome health management , ukiikosa mzumbe ipo st John hii ukimaliza tu utahamishwa halmashaur au hospital kama katibu afya, kasome engineering ukitoka andika barua kuomba kuhamia taasis nyingine japo hata ukienda halmashaur utapata Hela kuliko walimu
  11. M

    Tetesi: Walimu wamegeuza Shule za Serikali kuwa Vitega Uchumi vyao

    Mimi naona shida ipo kwenye utaratibu, je mchango umefata utaratibu?wazazi wameshirikishwa? Je mchango umefanya shughuli iiyokusudiwa? Toka waanze hiyo michango ufaulu unapanda? Watoto wanasemaje juu ya ufundishaji wa walimu wakujitolea na ufundishaji wa vipindi vya ziada. Kiukweli shule zetu...
  12. M

    Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

    Yan shule ifungwe kisa kusagana? Kwan shule imewaruhusu au kuwashauri wasagane? Chuki zako ni bure
  13. M

    Baba wa ubatizo wa mwanangu ana uhusiano wa kimapenzi na mama wa mwanangu. Navukaje hapa?

    Ushajiuliza utafanya nini mke mpya akigongwa pia?ushauri wangu namba 1: achana na huyo mke, achana kabisa na kuoa. Chukua watoto tafuta na mfanyakazi basi. Utaishi Kwa Raha na starehe ushauri namba 2; kama lazima kuoa rudiana na mke wako
  14. M

    Nikasome ipi kati ya masters ya education au nitafute bachelor ya kitu kingine

    Usithubutu kufanya masters ya tofauti maana kwenye Ajira za serikali masters haitambuliki. Hivyo ni Bora kufanya masters ya education Ila ni vizuri Zaid ukasoma bachelor nyingine mfano health management, procurement , physical education, account, Human resources au IT. Nakukuhakikishia hizo kozi...
  15. M

    Wenye dhambi nzito tukutane hapa

    Kah kumbe Mimi mtakatifu
Back
Top Bottom