Hatukarai Pakome kuweza kuhitajika zaid sokoni sababu ya umri wake. Tunachosema Ili afananishwe na chama acheze Kwa ubora Huu Kwa miaka zaid ya mitano. Ni kama kama Halland au mbape kufananishwa na Mess Au Ronaldo. Sio kwamba wabovu ila wanahitaji kuprove Kwa kuonyesha kiwango Chao Kwa muda...
Lakin mbona Yanga ndio imeanza Kwa kumuita kamati ya nidhamu kwanini wasingesubiri mechi zipite ndio yaje mambo ya kuitana kamati ya nidhamu. Au Yanga kupiga hatua mbele Kwa fei kipindi hiki ni sawa na fei kupiga hatua sio sawa. Naona Yanga kama timu wangetulia finali zipite ndio waanze kumuita...
Kama ni kabla ya mwaka 2010 , paper ya form 2 ilikua inatungwa kikanda na kusahihishwa kikanda. Kanda ya Kati paper ilikua inavuja hatari, Yan kwa shule za mjin pale kama Dom sec,merriwa, viwandani, Jamhur, hijra, central,kndege, nk sidhan kama Kuna mwanafunzi aliyekua anakosa paper hata kama ni...
zilezile tu ila Sasa unatakiwa kutoa mifano na maelezo Kwa sensa ya 2012.
Mifano
1.Sex ratio imekaaje, jinsia gan imezid
2.Mortality rate.
3.Age ratio. Idadi ya watoto vijana na wazee ipoje, dependent ratio usisahau kugusia
4.Population density hapa unaelezea unevenly distributed maeneo gan...
Umeajiriwa serikalini? Kama umeajiriwa, Fanya kozi tofauti mfano health management, accountancy, Business administration, procurement, physical education. Hizo kozi zitafanya uhamishwe idara ila bachelor ya ualim haikuongezei hata mshahara. Fanya kozi tofauti ila bachelor ya ualim Bora hiyo ada...
Kwanza dikteta ni mtu mzalendo anayependa sana nchi yake. Anatamani Kwa muda mfupi nchi ipige hatua kubwa, Yan kufumba na kufumbua kuwe na lami, reli,bandari, stend nk. Yupo radhi kufanya lolote kukamiisha ndoto zake. Atakanyaga Katiba, hatafata Sheria na atalikamata bunge, ataua na kutesa...
[emoji438]MCHANGANUO WA SELECTION FORM FIVE AND COLLEGE'S MWAKA 2023 [emoji406]
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
[emoji736]Kutokana na ufaulu wa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2022 kuongezeka kwa 2.9% zaidi ya ufaulu...
Kwa hiyo ni muajiriwa wa serikalini? Kasome health management , ukiikosa mzumbe ipo st John hii ukimaliza tu utahamishwa halmashaur au hospital kama katibu afya, kasome engineering ukitoka andika barua kuomba kuhamia taasis nyingine japo hata ukienda halmashaur utapata Hela kuliko walimu
Mimi naona shida ipo kwenye utaratibu, je mchango umefata utaratibu?wazazi wameshirikishwa? Je mchango umefanya shughuli iiyokusudiwa? Toka waanze hiyo michango ufaulu unapanda? Watoto wanasemaje juu ya ufundishaji wa walimu wakujitolea na ufundishaji wa vipindi vya ziada.
Kiukweli shule zetu...
Ushajiuliza utafanya nini mke mpya akigongwa pia?ushauri wangu namba 1: achana na huyo mke, achana kabisa na kuoa. Chukua watoto tafuta na mfanyakazi basi. Utaishi Kwa Raha na starehe ushauri namba 2; kama lazima kuoa rudiana na mke wako
Usithubutu kufanya masters ya tofauti maana kwenye Ajira za serikali masters haitambuliki. Hivyo ni Bora kufanya masters ya education Ila ni vizuri Zaid ukasoma bachelor nyingine mfano health management, procurement , physical education, account, Human resources au IT. Nakukuhakikishia hizo kozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.