[emoji438]MCHANGANUO WA SELECTION FORM FIVE AND COLLEGE'S MWAKA 2023 [emoji406]
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
[emoji736]Kutokana na ufaulu wa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2022 kuongezeka kwa 2.9% zaidi ya ufaulu wa mwaka 2021 kumeifanya selikari kuja na mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mwanafunzi wa ufaulu wa juu anapewa kipaumbele
[emoji736]TAMISEMI imeweza kupanga selection hizo kwa makundi tofautitofauti
UFUATAO NI MCHANGANUO WA JINSI TAMISEMI ILIVOPANGA SELECTIONI HIZO
[emoji831]Tukianza na
1. Masomo ya Sayansi
[emoji736]PCB, na PCM [emoji117]wakiume tutachukua kuazia daraja la I point ya 7 -15
[emoji117] wakike daraja la I point ya 7-17
[emoji736]CBG na PGM
[emoji117]Wakiume tutachukua mpaka daraja la II point ya 21
[emoji117]Wakike mpaka daraja III ya 22
2. Masomo ya Biashara
[emoji736]EGM na EC
[emoji117]Wakiume mpaka daraja II ya 21
[emoji117]Wakike mpaka daraja III ya 22
[emoji736] HGE na CBA
[emoji117] wakiume mpaka daraja II ya 21
[emoji117]wakike mpaka daraja III ya 22
3. Masomo ya sanaa
[emoji736]HGL,HGK, na HKL
[emoji117]wakiume mpaka daraja II ya 21
[emoji117]Wakike mpaka daraja III ya 23
4. Masomo ya Lugha
[emoji736]KLF
[emoji117] wakiume mpaka daraja II ya 21
[emoji117]wakike mpaka daraja III ya 23
[emoji406]VYUO /COLLEGE'S
1. Vyuo vya sayansi (Afya na Ufundi)
[emoji117]Wakiume mpaka daraja la III point ya 23
[emoji117]Wakike mpaka daraja IIIya 25
[emoji736]NB: Mwanafunzi wa sayansi watachukuliwa endapo wana D nne za masomo ya sayansi ikiwemo na Hesabu
2. Vyuo vya kati na biashara
[emoji117]Wakiume daraja la III point ya 25
[emoji117]Wakike mpaka daraja la IV point ya 26.
[emoji359]NB:
1. Hatutachukua [emoji670]wakiume yeyote mwenye daraja la III kujinga na kidato cha tano
[emoji670]Wakike yeyote mwenye daraja la III point ya 24-- kujiunga na kidati cha tano
2. Hatutachukua [emoji670]wakiume yeyote mwenye daraja la IV kujiunga na vyuo vyovyote vya selikari
[emoji359]NB: Mchakato wa kutoa selection post bado upo mbioni mtaarifiwa pindi post zitakapotoka
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
Imetolewa na katibu mkuu wa TAMISEMI
Dodoma
S.L.P , 11524 DAR ES SALAAM
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]