Aisee mkuu kuna watu wanashabikia wakati wanapokea 500k na maisha yanasonga,bora angebembeleza ajengewe nyumba na miradi mingine kwa ajili ya kuendeleza kipato cha mtoto tatizo hata hiyo M5 anayotaka itaishia kwenye nguo na nywele nasio kwa future ya mtoto,mwanaume sio mtu wa kushindana nae au...
Kwa mwanamke ambaye ana mtu wake awe mume au mpenzi ambaye watu wote wanafahamu mahusiano yao alafu mwanamke mwingine akatembea na mume/mpenzi wako ilihali anajua mahusiano yenu aisee inauma sana ,na wengi wanaomsapoti hamisa ni michepuko na wadangaji,pole zari
Pole ila kuliko kuishi na maumivu moyoni ni kheri ujikatae tu mapema,mpishe aishi na huyo anayehisi yeye anamfaa zaidi,muda ni tiba nzuri utasahau utazoea mana kuishi na mtu aliyekusaliti aliyekudharau akaona hujatosha alafu uendelee kuwa naye karibu usijekujikuta unamwekea sumu au kumchoma kisu...
Pole sana,ila kikubwa uzima.....ngoja waje wanaojua ila unaweza kutumia miwani nyeusi kama haujisikii comfortable kutoka nje unavaa hiyo miwani,pole sana
Sent from my T1-701u using JamiiForums mobile app
Uliyemuoa ndio chaguo lako,hutapata mkamilifu hata huyo mpentecoste ukiishi naye ukaona mapungufu yake utamchoka pia.....jitahidi kuwa na upendo wakweli unaoweza kustiri wingi wa dhambi(mapungufu)ya mwenzi wako,na ukumbuke dunia mapito k isikutenganishe na Muumba wako,na huyo mpentecoste...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.