Habari za wakati huu wanaJF,
Katika harakati zangu za kila siku, kuna maeneo nikiwa napita hapa Dar es Salaam (eneo nalihifadhi)
Nikamkuta Dada yuko namtoto mdogo amemshika mkono.
Kwakumwangalia mtoto huyo ni level ya baby class.
Pembeni kulikua na baraza ndefu ambayo mzee alikua amekaa...
Honestly JamiiForums hongera sana kuanzia uongozi, members na jamii kwa ujumla .
Ni jambo la furaha sana kuona umuhimu wa JamiiForums katika tasnia ya habari tunaoupata sisi kama jamii unajulikana kimataifa .
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof.Ibrahim Juma amesema ufanyike mkakati wa kuangalia matumizi ya kuchukua sampuli kwa ajili ya kipimo cha vina saba (DNA) ili visaidie kurahisisha upatikanaji wa ushahidi kwa watuhumiwa wanaofanya vitendo vya ubakaji na kulawiti watoto hapa nchini.
Jaji Mkuu wa Tanzania...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametoa onyo kali kwa vyama vya siasa nchini ambavyo vimetangaza kufanya mikutano ya hadhara kabla ya muda uliopangwa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini.
Waziri Lugola ameyasema hayo wakati alipokuwa katika mahojiano maalum na chombo...
Maafisa nchini Uganda wanasema msichana wa miaka 9 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo aliyethibitishwa kuwa na virusi vya Ebola Alhamisi amefariki Uganda akipokea matibabu.
Maafisa wanaeleza kwamba alifariki wakati mazungumzo yakiendelea kuhusu kumrudisha DR Congo kwa matibabu.
Mamake...
Mimi ni binti wa miaka 21, tuliachana na boyfriend wangu miaka miwili iliyopita kwasababu alibadilika ghafla yaani kila nitakachoongea kwake anawaka tu nikaona nijiepushe japo kishingo upande.
Lakini cha kushangaza hata ile wiki haijaisha nikasikia ameoa na ana mtoto. Nikikumbuka kaka wa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.