[emoji23][emoji23]na wakati huo una swalehe tayari,?Nliacha kupenda tangu siku amina aliponisaliti kwa maandazi mawili ya abdala
Tukiwa darasa la tatu
Sintopenda tena katu !
Mkuu mbona we mjanja kabisa mwenye elimu yakoo...
How do u let love hurt you!?
Come on men.... !!
Mwendo ni mguu mmoja ndani mwingine nje
Kanda ya ziwa hoyeeee
Mkuu mbona we mjanja kabisa mwenye elimu yakoo...
How do u let love hurt you!?
Come on men.... !!
Elimu inacontrol moyo toka lini?Mkuu mbona we mjanja kabisa mwenye elimu yakoo...
How do u let love hurt you!?
Come on men.... !!
Ha haa haaaNliacha kupenda tangu siku amina aliponisaliti kwa maandazi mawili ya abdala
Tukiwa darasa la tatu
Sintopenda tena katu !
Abdala kichwa wazi sio mtu mzuri kabisa.Nliacha kupenda tangu siku amina aliponisaliti kwa maandazi mawili ya abdala
Tukiwa darasa la tatu
Sintopenda tena katu !
Sichukulii poa..Usichukulie poa poa mkuu
Mi nahisi hasa mwanaume anayempenda mwanamke ambaye hampendi...😂😂😂😂😂😂mbaya zaidi kupenda usipopendwa dah!
Good thing is...love is all about abstract is not tangible...something that you can not touch but you can feel, meaning that we use emotion and not logic, so problem is upate mtu ambaye anaku feel kama wewe unavyom feel, you can enjoy love...kinyume chake andika maumivu.Mapenzi ni mchezo wa kamali lolote laweza tokea win or lose