Recent content by Mbagala Tz

  1. M

    JamiiForums Tanzania JINSI YA KUIROOT TECNO SPARK 3

    Wakuu Naomba anayejua jinsi ya kuiroot tecno spark 3 anielekeze Maana naona simu yangu inajaa jaa sana Nataka niiroot ili niweze kufuta baadhi ya built in apps ambazo sizitumii na zinachukua nafas kubwa Asante
  2. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Wakuu salaam, Nataka kufungua stationery nina Milion Moja Tu Ya mtaji,kodi nishalipia tayari imebak kununua vifaa vya kazi. Sina kitu chochote ndo nataka nikanunue. Hebu nishaurini ninunue nini na nini kwa kuanzia na wapi nikannunue? Wataalam wa hizi kaz naombeni ushauri wenu. Asante
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kufungua photostudio

    Wakuu nataka kufungua photostudio. Wapi naweza kupata camera kali ya bei nafuu kuanzia 700k mpk 1000k ambayo nitaitumia kwa photo shooting na video shooting. Naomba ushauri wenu wataalam wa hizi kazi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua jinsi ya kutumia VPN

    Wakuu Salaam Naomba mnielekeze namna ya KUTUMIA VPN...ili niweze KUTUMIA mtandao kutokana na hii shida ya mtandao Asante
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata suti za bei rahisi?

    Salaam wakuu Ni wapi naweza kupata suti za bei rahisi za 100,000 au 110,000 Lakini classic Maana nimezunguka Kariakoo nyingi ni kuanzia 150,000 hadi 180,000 Na mimi hiyo hela ya 150,000 sina.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Wakuu salaam?? Leo nakuja tena na uzi wangu huu Natafuta mchumba aliye serious na uchumba Mimi ni mwanaume Miaka 27 Mrefu wastani ,Mweusi wastani Najishughulisha na biashara za hapa na pale Nataka msichana aliye serious Umri 21-26 Awe Mcha Mungu Aje PM tuyajenge km yupo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu Tshirt za Manga form six zile ngumu ngumu nazioatia wapi bei ya jumla?kariakoo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    JamiiForums Tanzania Shoppers Plaza Supermarket kariakoo /posta

    Wakuu habari zenu Naombeni mnielekeze iliko Shoppers plaza kariakoo /posta...kuna vitu nimeskia vinapatikana pale so nataka nikajumue kidogo Shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Jezi za man u,madrid liva barca moja moja Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu salaam Tupeane maujanja kuhusu machumbi ys Nguo yalipo Nielekezeni wapi naweza kupata machimbo ya Tshirts form six na round callar Tshirts na Mashati makati kwa bei za 10000-20000 Nq machimbo mengine ya nguo Shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kutumia VBA kwenye Excel

    Wakuu salaam Kama kawa mishe zinaendaje huko? Wakuu nani anaweza kutumia function ya VBA vizuri kwenye excel? Katika kujifunza baadhi ya tutorials za Excel Youtube nikakutana na hicho kitu. Yaani kila nikijitahidi kuelewa ngoma inagoma yaani sielewi. Nipeni ujanja wa kumaster hii kitu wakuu...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta CPA Mentor

    Nipo Dar Es Salaam .... Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta CPA Mentor

    Ukimaliza CPA inabid utafute mentor wa kukumentor kwa miaka 3...anakuwa anakuelekeza kaz za uhasibu na kukupa assignments za kihasibu ufanye kwa miaka 3 Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta CPA Mentor

    Wadau salaam Heri ya Mwaka mpya? Wadau natafuta mentor atakayeni mentor kwa ajili ya CPA yangu, mimi nimepata CPA karibuni hapa. Nipeni uzoefu wenu najua humu mpo, au kama kuna mentor yupo humu aje PM au aniambie nimcheki PM. Au ni wapi niende niwapate hao mamentor kirahisi. Unajua kazi ya...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Uhasibu: Kuwa na cheti cha CPA pekee sio kuwa Accountant

    Natafuta Mentor wa CPA yangu...nimepata CPA November...nipeni ushaur wadau Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom