Mbagala Tz
Member
- Mar 16, 2017
- 57
- 42
Wakuu nataka kufungua photostudio.
Wapi naweza kupata camera kali ya bei nafuu kuanzia 700k mpk 1000k ambayo nitaitumia kwa photo shooting na video shooting.
Naomba ushauri wenu wataalam wa hizi kazi.
Wapi naweza kupata camera kali ya bei nafuu kuanzia 700k mpk 1000k ambayo nitaitumia kwa photo shooting na video shooting.
Naomba ushauri wenu wataalam wa hizi kazi.