Nataka kufungua photostudio

Nataka kufungua photostudio

Mbagala Tz

Member
Joined
Mar 16, 2017
Posts
57
Reaction score
42
Wakuu nataka kufungua photostudio.

Wapi naweza kupata camera kali ya bei nafuu kuanzia 700k mpk 1000k ambayo nitaitumia kwa photo shooting na video shooting.

Naomba ushauri wenu wataalam wa hizi kazi.
 
Wakuu nataka kufungua photostudio

Wapi naweza kupata camera kali ya bei nafuu kuanzia 700k mpk 1000k ambayo nitaitumia kwa photo shooting na video shooting


Naomba ushauri wenu wataalam wa hizi kazi
Njoo na 1,200,000 nikuuzie Nikon d800. Hiyo ni body tu bila lens. Ni professional full frame camera
 
Back
Top Bottom