Mbagala Tz
Member
- Mar 16, 2017
- 57
- 42
Wakuu
Naomba anayejua jinsi ya kuiroot tecno spark 3 anielekeze
Maana naona simu yangu inajaa jaa sana
Nataka niiroot ili niweze kufuta baadhi ya built in apps ambazo sizitumii na zinachukua nafas kubwa
Asante
Naomba anayejua jinsi ya kuiroot tecno spark 3 anielekeze
Maana naona simu yangu inajaa jaa sana
Nataka niiroot ili niweze kufuta baadhi ya built in apps ambazo sizitumii na zinachukua nafas kubwa
Asante