Mbagala Tz
Member
- Mar 16, 2017
- 57
- 42
Salaam wakuu
Ni wapi naweza kupata suti za bei rahisi za 100,000 au 110,000 Lakini classic
Maana nimezunguka Kariakoo nyingi ni kuanzia 150,000 hadi 180,000
Na mimi hiyo hela ya 150,000 sina.
Ni wapi naweza kupata suti za bei rahisi za 100,000 au 110,000 Lakini classic
Maana nimezunguka Kariakoo nyingi ni kuanzia 150,000 hadi 180,000
Na mimi hiyo hela ya 150,000 sina.