Hakuna cha mabepari wala majamaa. Acheni wenye uwezo wasomeshe watoto wao wanakotaka.Lile suala la biashara huria limeisha?Kama priorities zako ni kulewa na starehe zingine,usinyime nafasi wenye priorities za maendeleo ya family zao.
Kwa hiyo akili yako ya kichovu inakutuma kuwa hata wataalam wenye uwezo mzuri katika fani zao lazima wawe wanaccm?Wewe umekuwa addict wa CCM au una kirusi cha anticcm, sikumbuki chaitwaje.....
Mbona mzee Ruksa alikuwa anatembea mtaa bila ulinzi?Haya ni mazingira tu ya kujitengenezea.Tunatakiwa kutengeneza marafiki wengi kuliko maadui, I hope this is the most important formulae of life.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.