Recent content by Mayunga6

  1. Mayunga6

    Zanzibar hatudanganyiki tena

    Wanaojiengua huwa hawana mafujo,jazba na makelele...Ni maji tu ndo yametenganisha,vinginevyo Zbar ingekuwa moja ya wilaya kama ilivyo Temeke,K'ndoni n.k
  2. Mayunga6

    Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

    Ungepinga malipo ya mafao ya Lowasa kama waziri mstaafu au waziri aliyefukuzwa kwa ufisadi!
  3. Mayunga6

    Kati ya Dr. Slaa, Zitto, Freeman Mbowe, Shibuda ni nani tumlaumu kwakutaka kudhoofisha CHAMA??

    Chama hakihitaji sumu ya panya-Zitto ni kero! Shibuda ni double walker iko wazi,hana future CDM. Zitto tatizo ni kibaraka wa CCM.
  4. Mayunga6

    Wanaume, tupeni majibu hapa...

    Binafsi niko kwenye mahusiano na mara nimkoseapo mwenzangu huwa nakiri na kuomba toba bila shuruti. Tofauti na nitegemeavyo,mwenzangu hunifanyia makusudi kisa nimekiri basi huwa inakuwa sababu ya kila jambo ufanyalo tofauti na matakwa yake kukusema siku nzima.Siku hizi,nakiri ila namkazia ili...
  5. Mayunga6

    Wabunge Filikunjombe, Msigwa waponda matokea darasa la saba

    Mulugo hawezi kuwaacha wa aina yake...
  6. Mayunga6

    Mtajeni Mwanasiasa Aliyetema Pumba Zaidi 2012

    Ni JK kupitia kwa Nape na the great thinker Mulugo!
  7. Mayunga6

    Hivi kumbe wanawake nao wamo eeeh...!?

    Nyege hazichagui...chunguza hata kwa wanyama na ndege pia.
  8. Mayunga6

    PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

    Yuko tayari kuvua gwanda la kivita na kujivika gwanda lenye kushabihiana na lile la mgambo...viva CDM
  9. Mayunga6

    WHY SLAA MUST RESIGN...! "..effect of the crowded house.."

    Jifunze Kufupisha maelezo,marefu sana. Muda bado Slaa kuresign,ataendelea kuwapa wakati mgumu...
  10. Mayunga6

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    Hongera kwa kuchukua hatua. Hatua mliyoichukua CDM ni kwamba mna nafasi ya kudumisha imani kwa wanachama wenu au kupoteza wao,kuwapotezea muelekeo na imani yao kwenu. Wavurugaji wawajibishwe ikiwa na kuwavua madaraka yao yanayowapa keherehere...thank you and Marry Christmas CDM-people's power!
  11. Mayunga6

    TANZIA: Afisa wa TAKUKURU auawa

    JK anawaza safari tu,wapi aende,wapi akatambe,hana muda wa kuwajibika wala kuwajibisha mtu...ni mtu wa "mtajiju" flani ivi,so akili kumkinga! Pole kwa wafiwa wote,Mungu amlaze mahali pema peponi,Amina!!!!!!!
  12. Mayunga6

    Nini msimamo wa wa Tz BARa kuhusu Muungano uliopo?

    Hawaumizi kichwa,isipokuwa tunakerwa na kelele za muungano kila siku wakati binafsi sioni faida yake. Biashara za wapemba hazina shida,ila haitakuwa rahisi kama wafanyavyo sasa. Mbona ipo mitaa ya wasukuma,wachaga na wengine?pita sokoni utakukuta mitaa imejaa wachaga.Nenda kwenye minada ya...
  13. Mayunga6

    Nini msimamo wa wa Tz BARa kuhusu Muungano uliopo?

    Tuuvunje muungano kwa sasa na iwapo mmoja kati ya Tanganyika au zanzibar atauhitaji basi atume maombi ya kutaka muungano na hapo masharti na vigezo viwekwe. Hawa wapemba,wa unguja warudi kwao,bakhresa arudi kwao pia...watajitokeza matajiri wazawa-isiwe mafisadi kama walivyoibuka kipindi cha...
  14. Mayunga6

    CHADEMA yajipenyeza Tabora, Yashinda kwa kishindo uchaguzi

    Ipo siku watu watatafunwa nyama zao mchana kweupe wakiwa hai kwa upumbaf wa CCM inaoulazimisha.Nimeishi na kukulia Tbr mjini,watu hawaipendi CCM-sema maisha yao duni,ujinga na ufukara hutumiwa na CCM kama kigezo cha kuwadanganya wakati wa uchaguzi-wenyeji wa tbr wengi elimu finyu.Sidhani kama...
Back
Top Bottom