Hiyo Avatar kama ya Ndallo.... am confused...
Wakati tukisaka wanasiasa bora na waliofanya kazi zaidi mwaka 2012, nadhani ni bora tuwataje pia wanasiasa waliotia fora kwa pumba nyingi zaidi. Tupendekeze majina halafu nitawaweka kwenye poll. Mimi binafsi nampendekeza Cyprian Majura Musiba kama mwanasiasa aliyetema pumba zaidi mwaka huu. Naomba majina mengine wadau