:violin::iamwithstupid::boink:Wewe ni kiazi kwelikweli hivi hao CCM ndio wamekutuma uposti hapa huo utumbo wa kuku??, hiyo ni halali ya Kamanda Lema kulipwa hizo stahili zake zote na hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi hii inayoongozwa na magamba a.k.a CCM,naamini na wewe ni mwanachama wa CCM hivyo basi hizo ndizo sheria zinazopitishwa na serikali ya CCM kwa kura nyingi za ndiyo hapo mjengoni na wabunge wako wa CCM wanazipenda kweli kweli, hivi unajifanya kipofu au kiziwi kuwa hujui jinsi wabunge wako wa CCM walivyopitisha sheria ya Takrima?,EPA?,Richmond,na kadhalika. Ama kweli wewe ni kiazi kwelikweli kama sio kauzu.:music::A S 12::bange: