Hivi si walisema makinikia hayana hela ya msingi, inakuwaje wapate hasara yooote hiyo kwa mchanga tuuu??. Nisaidieni waungwana kwani mm ni mjinga wa eneo hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachohitaji ni kuona mchezaji mwenye kuleta matokeo. Najua Messi anaujua mpira hilo halina ubishi lakini, kaleta mafanikio ya mataji kwa muda huu tunaoongea na hata kwa timu ya taifa lake ameletachango mkubwa?
Jamani mm nimefanya kazi kanda ya ziwa. Wasukuma hawaendani na miti, wamekata miti mkoa wa Shinyanga hadi ajabu na wilaya ya Kishapu ni kama jangwa. Kwa hali hiyo lazima wakutwe na majanga hasa kama wafugaji na wakulima wenyewe hawatabadilika. Na kwao ng'ombe ndio utajiri, hata iweje hawauzi...
Hebu watanzania tutumie muda kuweka wazi na mazuri wafanyayo viongozi. Mnatufunza nn tusiojua kuhusu nchi yetu. Kila siku ninyi ni kuweka mabaya tuu!!!!. Badilikeni mtupe na mazuri ili tujifunze kuwa watanzania wema
Habari. Nina taarifa kidogo. Kwanza inabidi ujue unahitaji trekta lenye uwezo gani yaani horse power na unataka brand new au used. Kwani bei inatofautiana kutokana na upya au imetumika, capacity , where is it made, brand na payment mode. John Deere wana payment arrangements ya kulipa 50% at the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.