Leo Asubuhi
Member
- Apr 5, 2017
- 64
- 43
Sina hofu na afya zenu, natumaini mko wazima , ni salama na amani.
Kama kichwa kinavyosomeka, shida yangu ni kujua bei halisi ya matrekta kwa kuainisha aina zake na uwezo wake.
Mfano-Massey fergussion, swalaj, john deere na mengine mengi nisiyoyajua.
Naomba nijuzwe pia kama kuna utaratibu wa kulipia kidogo kidogo kwa kuanza na malipo ya awali, dhamana ikiwa ni trekta lenyewe,katika hili, malipo ya awali yasizidi milioni 14(14,000,000/=)
Nina hamu kubwa ya kupanua kilimo changu, kuna utajiri kwenye kilimo na nimeona hili mwaka jana na msimu wa mwaka huu.
Naomba kupata msaada.
Kama kichwa kinavyosomeka, shida yangu ni kujua bei halisi ya matrekta kwa kuainisha aina zake na uwezo wake.
Mfano-Massey fergussion, swalaj, john deere na mengine mengi nisiyoyajua.
Naomba nijuzwe pia kama kuna utaratibu wa kulipia kidogo kidogo kwa kuanza na malipo ya awali, dhamana ikiwa ni trekta lenyewe,katika hili, malipo ya awali yasizidi milioni 14(14,000,000/=)
Nina hamu kubwa ya kupanua kilimo changu, kuna utajiri kwenye kilimo na nimeona hili mwaka jana na msimu wa mwaka huu.
Naomba kupata msaada.