Kuhusu bei halisi ya matrekta

Leo Asubuhi

Member
Apr 5, 2017
64
43
Sina hofu na afya zenu, natumaini mko wazima , ni salama na amani.

Kama kichwa kinavyosomeka, shida yangu ni kujua bei halisi ya matrekta kwa kuainisha aina zake na uwezo wake.
Mfano-Massey fergussion, swalaj, john deere na mengine mengi nisiyoyajua.
Naomba nijuzwe pia kama kuna utaratibu wa kulipia kidogo kidogo kwa kuanza na malipo ya awali, dhamana ikiwa ni trekta lenyewe,katika hili, malipo ya awali yasizidi milioni 14(14,000,000/=)
Nina hamu kubwa ya kupanua kilimo changu, kuna utajiri kwenye kilimo na nimeona hili mwaka jana na msimu wa mwaka huu.

Naomba kupata msaada.
 
Habari. Nina taarifa kidogo. Kwanza inabidi ujue unahitaji trekta lenye uwezo gani yaani horse power na unataka brand new au used. Kwani bei inatofautiana kutokana na upya au imetumika, capacity , where is it made, brand na payment mode. John Deere wana payment arrangements ya kulipa 50% at the spot na balance unalipa ndani ya mwaka lakini kuna mfuko wa pembejeo wa serikali ingawaje una urasimu lakini waweza pitia hasa ukitaka kununua on credit. Kuna kampuni ya Kirasa inauza matrekta za Massey Ferguson new from Pakistan nadhani. Watembelee Ubungo opposite na njia ya kwenda kwa mzee wa upako.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nauliza bei ya power tiller maana hapa Mwanza kuna duka moja nimeuliza bei nikaambiwa mil. 14 set moja (mkokoteni, majembe nk) aina ni Kubota HP 12.
 
Habari. Nina taarifa kidogo. Kwanza inabidi ujue unahitaji trekta lenye uwezo gani yaani horse power na unataka brand new au used. Kwani bei inatofautiana kutokana na upya au imetumika, capacity , where is it made, brand na payment mode. John Deere wana payment arrangements ya kulipa 50% at the spot na balance unalipa ndani ya mwaka lakini kuna mfuko wa pembejeo wa serikali ingawaje una urasimu lakini waweza pitia hasa ukitaka kununua on credit. Kuna kampuni ya Kirasa inauza matrekta za Massey Ferguson new from Pakistan nadhani. Watembelee Ubungo opposite na njia ya kwenda kwa mzee wa upako.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Unajua tractor zina ukubwa na uwezo tofauti na wewe unatakiwa ununue kutokana na kazi unayoenda kufanya la sivyo utachemka kwa hiyo kuwa muwazi ili wakusaidie,kunasehemu nilienda kama tractor haina 4wheel hainakazi huko.
 
Wadau m
Kama upo tayari tuunganishe nguvu tuagize Afrika Kusini, tunaweza kuokoa nusu ya gharama mkuu!
i nimeshajipanga, mwezi wa tano njia moja kuelekea afrika ya kusini kununua used massey au ford. Bei zao si mbaya sana. Ni in box tuelezane mkakati.
 
Wakuu wenye majibu Hapa tusaidiane mi pia bahitaji used iwe kutoka morogoro au kokote nchini au nje ya nchi
 
kuna mtu leo jion ktk stori akanigusia kuna mf 86h used inauzwa dodoma 19m tatizo sikua serious. ntajitahid kesho nimtafute niwape info kamil.
 
Back
Top Bottom