kuna wimbo mja unaitwa asuu aisee nikiuckia tu ht km nilikuwa chooni natoka
asuu roho ingekuwa nguo ninge kuazima uwe nayo hadi milele
we acha kabisa utalewa
jamani umesema alikuwa anakufanyia lkn bdo uliendelea kuwa naye nasasa anaonyesha mapenzi ya kweli ww upendo umepungua ni bora uwe muazi kwake mapema kuliko kuja kumtesa baadaye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.