Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
sina mda huo sina :*2
wa kukaa kibarAzani nimsemange mtu
nna hamsini zanguu
zinanipelekA mbiooooo
ngoja napika shosti ntarudi
Hhhhhhhhaaaa huoooo huo naupenda na ule mi..si mke mwenziooo
sina mda huo sina :*2
wa kukaa kibarAzani nimsemange mtu
nna hamsini zanguu
zinanipelekA mbiooooo
ngoja napika shosti ntarudi
sina mda huo sina :*2
wa kukaa kibarAzani nimsemange mtu
nna hamsini zanguu
zinanipelekA mbiooooo
ngoja napika shosti ntarudi
Kuna watu wanawekaga hata hamjakosanagaa ukiwa uswahili ndio utakomaaa aiseee
Wengine ni chuki binafsi tu,usiombe uwe mzuri alafu huna mambo ya kiswahili...wanaumiaje?unaweza kusalimia watu hawaitiki
Hahahaa
Aloniamuru mungu,siyamalizi kwa leo
Iweje ya walimwengu?mie sina muda huo..usinipikie majungu
Mie si mke mwenziooooo
(Dada yangu ndio mambo yake so nilijifunzia kwake)
Ni kweli hata kama una kitu umewazidi tayari ni shiider uko busy eti una ringa mi naona majority wanaowekea wenzao ni ujinga na kutokujielewa tu wajua anasikiliza wimbo kumne kamwekea mtu asiye na mda
Wengine ni chuki binafsi tu,usiombe uwe mzuri alafu huna mambo ya kiswahili...wanaumiaje?unaweza kusalimia watu hawaitiki
Yapi halaf uwe na mpenzi au mume yupoo juu lazima utafutiwr sababuu,
sina mda huo sina :*2
wa kukaa kibarAzani nimsemange mtu
nna hamsini zanguu
zinanipelekA mbiooooo
ngoja napika shosti ntarudi
ila mi wa isha mashauzi ule wa mama kaimba mwenyewe unanigusa sana najisikia nampenda mama angu mara 100
Napenda baadhii nyimbo kama 4 tu
Jamani naupenda ule wimbo wa Omar kopa Nadekezwa na wa Znz one Nidhibiti.. Unanigusa ndipo...
Mi bongo fleva ilikua enzi hzo asa hv taarabu mwanzo mwenga
bongo sana kiba tu
Jamani naupenda ule wimbo wa Omar kopa Nadekezwa na wa Znz one Nidhibiti.. Unanigusa ndipo...
Shosti mie Nidhibiti ukipigwa sikai kwenye kiti ivoo! Yani pale anapo sema mitishamba wamalize halafu wa wa weweseka ndio aaaaaaaah Raha tupu....
Mtu wa pwani lazima apende taarab mkurya na taarabu wapi kama unampigia mbuzi kitaa hahahh