Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
kumbe mpoo eeh! Naona mambo yenu
Yote tisa me nikiisikia hii yani mwili unanisisimkaaa....
" Nipe nikupe ndo mtindo wa
maana
Nipe nikupe mapenzi, mapenzi
yakiungwa
Nipe nikupe baby, nipe nikupe
dear
Kupeana raha sana
Kwa mwengine kwa mwengine
siyapati
Mahaba mahaba yako mwanana
Nipe bila nipe bila tashtiti, wacha
kuyabana bana
Unibebe unibebe kitikiti,
wapasuke wapasuke walonuna
Nipe nikupe kupeana ni dhamana
Nipe nikupe vya siri, vya siri na vya
bayana
Nipe nikupe baby, nipe nikupe dear
Kupeana raha saaaana, Kupeana
raha sana...."
cc; my Doct