Ameshakula hela yake nyingi, afanyeje aachane naye?

Ameshakula hela yake nyingi, afanyeje aachane naye?

hamna jipya hapo zaidi ya kumpa mbaba wa watu mgegedo then aingie rasmi team mchepo!
 
mh! Jamani inawezekana kweli mtu ule pesa ya watu bila kumpa papuchi?
 
Huyo ni shost au changudoa mwenzako?? Tz bila ukimwi haiwezekani..
 
matokeo ya kuchagua kitu over utu.you feel you owe him something. So you dish out your body to a man you dont even love.
 
..anadai amrudishie ili aachane nae akiwa na amani.... ndo solution
 
Hivi kama humtaki MTU kwanini ule vyake????? Kwanini usimwambie mwanzo kabisa anapoanza hatua kwamba humtaki????? Kwanini umpotezee muda na kumpa matumaini badala ya kumuacha akajaribu kwingine???????
 
Uyo dada anahamu ya kugawa uroda ndoa imetengemaa si amwambie mdingi ndo imetengemaa achape mwendo.
Najua shida itaanza mbona ulikuwa unakula ela zangu nawe mjibu kuwa nilijua ndoa yangu itavunjika afterall fedha yenyewe ya UMMA amefisadi uko ndo kaja kukudondoshea wewe.
ALAFU LIFTI IZI JAMANI IVI UNAANZAJE PEWA LIFTI NA MTU HUMFAHAMU MTAJA BAKWA IVI IVI AU POTELEA MABWEEEE.
 
Back
Top Bottom