Mkuu nakusupport kwa kulitambua hilo maana hata mimi nimejaribu kupima akili zetu watz naishia kukosa majibu....tatizo ninaloliona ni kukosa misingi ya elimu ya uraia...elimu ya sasa ya kukariri summary na vipoints tu bila kusoma vitabu inatufanya tunakuwa na poor na shallow arguments badala...
sio ivo mkuu....writing skills ina challenge sana na ukizingatia simu hizi za touch nazo zinachangia kutokana na uwepo wa prediction wakati wa kutype text...
Hata kipindi anayaandika hayo alibezwa mbona....so usitumie joho la kusema aliuaminisha umma wakati huo hukuamini....cha msingi tukomae na maisha tutoke hizi mambo za mabishano mitandaoni hazitusaidii chochote...
Culture ya kizungu na ya kibongo ni tofauti kabisa...cku zote ukimjibu tusi aliyekutukana hakuna mwenye utofauti kati ya watukananao..."all are uncivilized"
Hi to every body....!!
Katika harakati za maisha ya kila siku migogoro mingi inayotokea huwa inasababishwa na ujumbe unaopatikana kwenye hii statement.."the desire to cheat and the refusal to be cheated results into conflicts among people in the community"
Tuchangie mawazo wadau na kama...
mkuu ibilisi hicho kiingilio ulichokianzishia topic ni kwa VIP maana hata mimi nimelisikia hilo tangazo ila wameweka viingilio vingi tu...mfano watoto 2000, kuna elfu 5, 10, 15 mpaka 20....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.