Recent content by maumi kweupe

  1. M

    Mbunge Martha Mlata azuiwa JKNIA kusafiri, hakuwa na kibali cha Ikulu

    Hivi kumbe hata wanasiasa ni watumishi wa umma?
  2. M

    Mbona Magufuli anaanza kama Kikwete Tena? Hii nayo Nguvu ya Soda...?

    Mkuu nakusupport kwa kulitambua hilo maana hata mimi nimejaribu kupima akili zetu watz naishia kukosa majibu....tatizo ninaloliona ni kukosa misingi ya elimu ya uraia...elimu ya sasa ya kukariri summary na vipoints tu bila kusoma vitabu inatufanya tunakuwa na poor na shallow arguments badala...
  3. M

    Mbona Magufuli anaanza kama Kikwete Tena? Hii nayo Nguvu ya Soda...?

    Kwa hiyo wale wengine waliotajwa na dr slaa hawataguswa? ila atakomaa na mbowe na lowassa tu?
  4. M

    Nakuhamuru mh rais

    sio ivo mkuu....writing skills ina challenge sana na ukizingatia simu hizi za touch nazo zinachangia kutokana na uwepo wa prediction wakati wa kutype text...
  5. M

    Nakuhamuru mh rais

    Hiyo ni writing error tu mkuu mbona wabongo wengi tunakikosea kiswaz hasa wakati wa kukiandika...
  6. M

    Lowassa Umenifurahisha Big Up

    Anapambana na ufisadi uliototolewa na chama chake a.k.a anakitumbua chama chake ambacho ndo majipu yenyewe....!
  7. M

    Kubenea muombe radhi Makonda

    Hata kipindi anayaandika hayo alibezwa mbona....so usitumie joho la kusema aliuaminisha umma wakati huo hukuamini....cha msingi tukomae na maisha tutoke hizi mambo za mabishano mitandaoni hazitusaidii chochote...
  8. M

    Kubenea muombe radhi Makonda

    Mbona makonda mwenyewe halalamiki kuwa anadhalilishwa?
  9. M

    Kubenea muombe radhi Makonda

    Hilo bifu lao kalianzisha makonda mwenyewe acha wapambane tu....mmoja anatumia nguvu ya dola mwingne media....! hivo alivyo wananchi walimwona anawafaa
  10. M

    Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

    Culture ya kizungu na ya kibongo ni tofauti kabisa...cku zote ukimjibu tusi aliyekutukana hakuna mwenye utofauti kati ya watukananao..."all are uncivilized"
  11. M

    Chanzo cha migogoro

    Hi to every body....!! Katika harakati za maisha ya kila siku migogoro mingi inayotokea huwa inasababishwa na ujumbe unaopatikana kwenye hii statement.."the desire to cheat and the refusal to be cheated results into conflicts among people in the community" Tuchangie mawazo wadau na kama...
  12. M

    Tamasha la injili la X-mas, kiingilio 50,000/= Diamond Jubilee

    mkuu ibilisi hicho kiingilio ulichokianzishia topic ni kwa VIP maana hata mimi nimelisikia hilo tangazo ila wameweka viingilio vingi tu...mfano watoto 2000, kuna elfu 5, 10, 15 mpaka 20....
Back
Top Bottom