Wasichana wanatusaidia lkn mmh ni jangaaa, yaan mtu abajua kbs akiamka asbh kazi yake ni kuosha vyombo lkn mok kila siku iendayo kwa Mungu lzm umkumbushe duuu! Inachoshaaa
Kila siku umkumbushe kusugua miguu asilale ikiwa michafu, unakuta kaoga lkn atatoka nje peku na malapa yake kayaacha...
Kumuacha sio suluhisho sbb nae tayari anawatoto wanne kwa wanawake tofauti, NAE NI TATIZO hivyo amkanye awe mkweli maisha yaendelee, wote hao ni majipu hakuna mwenye nafuu, mashine kaikubali aendelee nayo BORA HUYO MWENYE WATOTO NA ANAMPENDA, ATAHANGAIKA ATAKUTANA NA MWENYE MARADHI
Kama ungesikiliza clip ya dada wa marehem aneth kuna sehem alisema kuna ndugu yake mwingine alikua ametoka nje 6a nchi akapigwa risasi lkn bahati nzr hakufariki, hivyo alikiri kuna watu wanawaandama, Mungu awasaidie tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.