Cataliyya
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 781
- 371
Wana jf, kuna nafasi zimetoka tanroads hapa juzi kati, tembelea zoom tanzania utaziona deadline bado, sasa nataka kujua je hawa jamaa hua wanaitaje interview? ni kwa simu? au web yao? maana application imekua adressed kwa Regional manager tanroads, mwenye kufahamu hili anijuze