Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
NATAKA WOZAP BHANAAMkuu pole sana, naona umeanza kulia kabla ya tukio,usijali sana simu yako utatumia kwenye radio/memo/ kupigia picha na kunasia sauti mbalimbali japo tutakumisi sana JF.
NATAKA WOZAP BHANAAMkuu pole sana, naona umeanza kulia kabla ya tukio,usijali sana simu yako utatumia kwenye radio/memo/ kupigia picha na kunasia sauti mbalimbali japo tutakumisi sana JF.
Dawa imeshapatikana, buku tano tu kuifungua.KWA USAWA HUU 18000 ISIYO KWENYE BAJET KHAA HAPANA MIE ITAKUWA NGUMU
nimesikia hureiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nji hii watanzania wako kama panya ukiziba tundu hili anafukua upande wa pili sawa mkuuDawa imeshapatikana, buku tano tu kuifungua.
nimesikia hureiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nji hii watanzania wako kama panya ukiziba tundu hili anafukua upande wa pili sawa mkuu
Haaaaaahaaaaaaa its a truth
Thubutu, tukosekane hewani useme tcra wamefanya yaoNasikitika kutangaza kifo cha simu yangu kitakacho tokea wiki 1 ijayo mazishi yatafanyika tarehe 16.6.2016 muda wowote kuanzia asubuhi.Taarifa ziwafike watanzania wote wenye cm feki.Marehemu enzi za ujana wake alifanikiwa kuwa na watoto wa(5)tu) ambao ni tigo voda airtel na haloteli memory card.Pia ameacha mjane mmoja ambaye ni betri TCRA wazilaze roho za cm zote feki Tanzania TCRA walitoa TCRA wametwaa jina la TCRA lihimidiwe, wahanga wote tuseme amen
Kama kile cha mtemi kabwogi a.k.a soggy dog dog.Vibanda vya simu vitarudi kwa kasi sana.