Jamaa zangu wa2 walitoka Moshi kwenda Dsm mida ya jioni kwa gari binafsi, kufika Mombo wakaamua kupata kinywaji ili kupunguza umbali wa safari. Waliondoka wakiwa wamelewa kufika njia panda Segera wakaelekea Tanga badala ya kuelekea Dsm.
Kufika Tanga wakadhani wapo Dsm, wakatafuta Guest house...
Inawezekana imepunguza foleni kwa kiasi fulani...lakini tukumbuke wenye magari wengi wanakwepa kupita Ubungo kwa kuogopa foleni.
Hofu yangu foleni itarudi baada ya watu kusoma Uzi huu!!!
Asante kwa uchambuzi wako...sina majibu ya swali ulilouliza...nami siku zote najiuliza kwa Nini Kamati imeundwa kwa ajili ya mechi ya mwisho ambayo hata tukishinda kufuzu kwetu kutategemea matokeo ya mechi Kati ya Lesotho na Cape Verde!
Pengone Kamati itaendelea kuwepo siku zijazo na kwa timu...
Nilikuwa sijui maana ya kukojoa, demu aliponiambia nikojoe nikamuuliza nikojoe ndani akasema ndio... ikabidi nikojoe mkojo wa kawaida japo ulitoka kidogo! Nilijisikia vibaya baada ya kujua maana ya kukojoa wakati wa tendo!
Duh unasema na wewe uliokoka...uka-date na walokole watano!!!!
Si ajabu tatizo liko kwako kwa kudhani walokole Ni malaika na ukashindwa kusimama kwenye zamu yako. Unaona mapungufu ya hao wa5 halafu wewe upo perfect!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.