Recent content by Matumbwela

  1. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Asante kwa ufafanuzi!
  2. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mmoja akipiga mara nyingi kilometer hazisomi?
  3. M

    Data bundle Tanzania

    Inawezekana Wana boresha kila siku. Mimi nilinunua 1/2/2020
  4. M

    Data bundle Tanzania

    TIGO napata Gb 1.5 kwa sh. 3000 kwa wiki.
  5. M

    Plate namba za magari zinavyokimbia hivi ni kweli vyuma vimekaza ?

    Siyo kweli, DGT imesajiliwa March 2016...DDF itakuwa kabla ya 2016. Najua DAS ni kabla ya 2015!
  6. M

    Uzi wa matukio baada ya Kunywa Pombe

    Jamaa zangu wa2 walitoka Moshi kwenda Dsm mida ya jioni kwa gari binafsi, kufika Mombo wakaamua kupata kinywaji ili kupunguza umbali wa safari. Waliondoka wakiwa wamelewa kufika njia panda Segera wakaelekea Tanga badala ya kuelekea Dsm. Kufika Tanga wakadhani wapo Dsm, wakatafuta Guest house...
  7. M

    Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Inawezekana imepunguza foleni kwa kiasi fulani...lakini tukumbuke wenye magari wengi wanakwepa kupita Ubungo kwa kuogopa foleni. Hofu yangu foleni itarudi baada ya watu kusoma Uzi huu!!!
  8. M

    Ni lipi lengo la RC Makonda na kamati yake ya hamasa kwa Taifa Stars?

    Asante kwa uchambuzi wako...sina majibu ya swali ulilouliza...nami siku zote najiuliza kwa Nini Kamati imeundwa kwa ajili ya mechi ya mwisho ambayo hata tukishinda kufuzu kwetu kutategemea matokeo ya mechi Kati ya Lesotho na Cape Verde! Pengone Kamati itaendelea kuwepo siku zijazo na kwa timu...
  9. M

    ujumbe bora Sana huu, tukumbushane tu

    Duh umefikiri Vizuri kwa upande mwingine wa shilingi. Hakika Mungu ndo aijuaye kesho yetu na vizazi vyetu...hakuna formula yenye uhakika asilimia 100.
  10. M

    Itigi: DED, rangers arrested over murder in church

    Ni habari njema kwamba sheria inafuata mkondo wake. Ila lugha (kiingereza) kweli sio ya nchi hii!!!
  11. M

    MARA YAKO YA KWANZA KUFANYA MAPENZI ILIKUEAJE?

    Nilikuwa sijui maana ya kukojoa, demu aliponiambia nikojoe nikamuuliza nikojoe ndani akasema ndio... ikabidi nikojoe mkojo wa kawaida japo ulitoka kidogo! Nilijisikia vibaya baada ya kujua maana ya kukojoa wakati wa tendo!
  12. M

    Walokole sijui mnakwama wapi?

    Duh unasema na wewe uliokoka...uka-date na walokole watano!!!! Si ajabu tatizo liko kwako kwa kudhani walokole Ni malaika na ukashindwa kusimama kwenye zamu yako. Unaona mapungufu ya hao wa5 halafu wewe upo perfect!!!!
  13. M

    Nampenda lakini nahofia atanichukuliaje?

    Kama anafanya miamala kila siku...namba yake unayo!!!
  14. M

    Uzi wa kutaja tabia za wanaume zinazotukera!

    Kama issue ni mkwanja tu, basi tabia nyingine inayokera itakuwa ni Mwanaume ambaye ni bahili!
Back
Top Bottom