Uzi wa matukio baada ya Kunywa Pombe

Uzi wa matukio baada ya Kunywa Pombe

Nilikula gambe nikachukua demu wa mshikaji wote tuko chakali asbh baada ya kuamka tu wote kama tumezaliwa upya ikabd tumalizie kipande kilichobaki tu na majina kibao shem darling
 
Mshikaji wangu mmoja tulikula nyagi akawa anasema ye anakufa, nikambishia haufi akasema tena anakufa akafungua mlango wa gari aruke.. ndo nikaamini
IMG_4493.JPG
 
Uzi huu ni kwa ajili ya wale waliopiga gambe na kujikuta wanafanya mambo ya ajabu na kesho ulipoambiwa Ulibisha kweli.. Nilipiga gambe enzi nipo chuo sasa bhana nikataka kuondoka na Malaya flani wenzangu wakawa wananikatalia ikabdi wanifunge kamba wanipeleke mpaka Hostel kufika hostel unaambiwa nikakojoa kwenye korido na kutapika balaaa.. Kiukweli kesho yake nikasema sitalewa mpaka nipoteze network kabisa milele yote..


Tukio gani ulifanya la ajabu siku ulipopiga tungi ya maana??

Jamaa zangu wa2 walitoka Moshi kwenda Dsm mida ya jioni kwa gari binafsi, kufika Mombo wakaamua kupata kinywaji ili kupunguza umbali wa safari. Waliondoka wakiwa wamelewa kufika njia panda Segera wakaelekea Tanga badala ya kuelekea Dsm.

Kufika Tanga wakadhani wapo Dsm, wakatafuta Guest house.. kuamka asubuhi wanajikuta wapo Tanga!
 
Jamaa zangu wa2 walitoka Moshi kwenda Dsm mida ya jioni kwa gari binafsi, kufika Mombo wakaamua kupata kinywaji ili kupunguza umbali wa safari. Waliondoka wakiwa wamelewa kufika njia panda Segera wakaelekea Tanga badala ya kuelekea Dsm.

Kufika Tanga wakadhani wapo Dsm, wakatafuta Guest house.. kuamka asubuhi wanajikuta wapo Tanga!
Hao balaa
 
Me kwa kweli napendaga nikienda kulewa niende na wana ili nilewe mpaka nikate ringi yanii
 
Aisee noma sana ukilewa utatupa data mkuu
Usijali,na leo nimepanga kwenda Kwa demu wa mshkaji ambaye aliniazima 30,000 na hakurudisha ni miez 4 ss.Na alinitengenezea mazingira ya kumla nikadengua but leo naenda
 
Back
Top Bottom