Nilivyomla kimasikhara msafiri mwenzangu.
Jumatatu nahitajika niwe kahama. So jumamosi jioni nikamcheki Ustadhat wangu mtoto wa kirangi yupo chuo kikubwa zaidi Afrika mashariki na kati kalikuja kufanyia field ofisini kwetu nikajiongeza nkakamiliki... Kama vipi jioni aje tu spend pamoja mpka jumapili then niende zangu kahama. Mtoto akakubali tukayuna town jion hiyo tukaenda lodge usiku nkajilia vyangu vya kutosha asubuhi tukaaga mimi nkaelekea zangu stand kusubiri gari za dar zinazoenda bukoba...saa saba dk 45 gari ikafika nikapanda ndani ya bus huwa napenda kukaa seat moja na mwanamke so nkachagua seat aliyokuwa amekaa binti fulani hivi katoka nayo dar.
Nkakapa hi...tukaelewana story nyingi...kakaaanza kusinzia nkakaambia kalale kwa bega..kakalala, baadae kakajionheza kaka lala kifuani..mara kwenye miguu mimi nkawa nakapimia tu. Tukafika kahama saa sita usiku nkakaomba tuende wote tukalale wote asubuhi nitakarudisha kwa gari ili kaendelee na safari...coz mimi nilikuwa naishia Kahama.
Nikakachukua hao mpk lodge.. hapo sijakatongoza tukafika lodge kakaenda kuoga kakarudi kakapanda kitandani...nikanunua condom (kula kimasikhara ni marufuku kwenda kavu) nikajipigia vyangu viwili ila mtoto huyu alikuwa anapiga kelele kama msiba

.. Asubuhi mapema nkakarudisha stand.... Sikafahamu hata jina na namba hata sikuchukua.