Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kwenye kutafuta vitu flaniflani, Juzi kati mida ya jioni nimeingia ofisi ya mtu, muhudumu ni ke,(msichana mrembo) na hali ya hewa ilikua ishaanza kubadilika, mara paaap!!! bonge la mvua ya upepo.

Akafunga mlango wote wa ofisi ili maji yasipite, na umeme ukakata. Ndani tuko wawili, mvua inaendelea kunyesha na kigiza kwa umbaliii..., afu tumesogeleana karibu.

Nikaisubiria kimasihara weeeee, mpaka mvua imekata kimasihara haitokei, nikasepa zangu.
Fala we jamaa sas unasubir nin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna tofauti kubwa ya kutumika na wengi ...na kutumika na mtu mmoja...imagine kila mtu na size yake...na style zake.....na huyo mmoja hawezi piga mara nyingi kiasi hiko....kiasi ulinganishe na kupigwa na mashine mpya daily..
Asante kwa ufafanuzi!
 
Kuna tofauti kubwa ya kutumika na wengi ...na kutumika na mtu mmoja...imagine kila mtu na size yake...na style zake.....na huyo mmoja hawezi piga mara nyingi kiasi hiko....kiasi ulinganishe na kupigwa na mashine mpya daily..
Mkuu ID yako ya zamani tafadhali, kama hutojali.[emoji39]
 
Woiii naomba nikae kimya[emoji3][emoji3][emoji850]nime i mute kwa muda sanaaaa...ila ni memba humu toka 2010 i guess[emoji2][emoji2]...
Unaonekana tu[emoji39]ngoja tutayajua tu!
 
Back
Top Bottom