Ni dhahiri, shairi CCM inazidi kuimarika mara baada ya uchaguzi mkuu 2015.
Mabadiliko ya kimuundo na namna Chama kinavyoisimamia Serikali yake katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ndio silaha kubwa ya ushindi wa jana kwa Chama Cha Mapinduzi.
Watani zetu Chadema wao wamejikita kwenye mitandao...
Hii HADUBINI YA TBC inakuwa na taarifa za kutoa machozi kila wakati kwa habari ambazo wanazirusha.
Jana kwenye Taarifa ya habari kwenye sehemu ya Hadubini kulikuwa na habari ya mtoto Ester Musa aliyeanguka kwenye mti wa muembe 16 September 2016 na kufikia kichwa.(Mimi nimeiona taarifa hii...
Endelea kuishi kwenye nchi ya kusadikika zaidi kufikirika, wakati mwingie ni kupoteza muda hasa kwa namna anavyofikiri.
Sitaacha kutoa pongezi kwa marafiki na makada wenzangu hasa vijana wanaopata uteuzi.
Maana sina kinyongo na wala siwazii cheo maana maisha yanaendelea.
Duuh kumbe cheo ni mpaka uteuzi eeh?
Ukiwa kwenye siasa hata kugombea nafasi na kupata ni cheo na wala sio uteuzi.
Tutaendelea kugombea ndani ya CCM kama tukihitaji vyeo na madaraka yake.
Kila zama na kitabu chake kikubwa wakapige kazi za wananchi huko maana mamlaka za uteuzi zimewaamini katika Utumishi wa Umma.
Tupo kwa 7bu ya kuwasaidia Wananchi Wanyonge na ndivyo afanyavyo Dk Magufuli wala hateui kwa ajili ya makundi wala chuki.
CCM ni salama na wote walioteuliwa hawana...
Mimi kwangu Chama ni Itikadi pamoja na Sera zake na ndio maana nipo CCM.
Pia usisahau kuwa mwanachama wa chama cha siasa ni Imani wala sio vyeo.
Kwangu mimi naiunga mkono Serikali inayotokana na CCM pamoja na hatua mbalimbali anazichukua Mheshimiwa Rais Dk Magufuli.
Haya masuala ya uteuzi...
Gwakisa Burton Mwakasendo na Lameck John Lubote waachana rasmi na Chadema.
Gwakisa alikuwa ni mmoja wa vijana wa Chadema aliyegombea nafasi ya juu ya BAVICHA Miaka iliyopita na pia mgombea ubunge wa Chama hicho RUNGWE MASHARIKI Mwaka 2010.
Ndugu Lubote alikuwa ni Katibu wa Chadema Jimbo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.