barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,874
Baada ya Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya na baadhi ya mikoa kufanyika,kulikuwa na "minong'ono" mimgi kwenye korido za Lumumba na Makao Makuu,kuwa vijana wengi waliopigania chama kuanzia mitandaoni mpaka "field" wametupwa kapuni,hali iliyozua sintofahamu na kushusha morali.
Vijana hawa walipigana kufa na kupona kuhakikisha chama kinarudi madarakani licha ya kuwepo upinzani mkali sana uliotishia "uhai" wa chama,upinzani wa nje na ndani ya chama ulitikisa kweli kweli harakati za kuingia Ikulu kwa mara ya Tano.Juhudi za vijana hawa wakiwa field na mitandaoni zilichangia kwa kiasi ushindi wa CCM.Licha ya matusi na kejeli mitaani na mitandaoni vijana hawakukata tamaa.
Hatimaye uteuzi wa makatibu Tawala wa Wilaya nchini umekumbuka kundi kubwa la vijana waliokuwa mstari wa mbele field na mitandaoni kukipaigania chama.Hongera sana kwa vijana wenzangu ambao mmepikwa na mmeiva kulitumikia Taifa. Nyinyi ni zao la Uvccm na Shirikisho la Vyuo Vikuu. Nendeni mkapige kazi kwa uadilifu mkawatumikie watanzania vyema. Hakika tumefurahi sana. Tunawatakia kila la Kheri katika majukumu yenu mapya.
* Joseph Chitinka Meshack
* Kheri James
* Asenga Abubakar
* Husna Sekiboko
* David John Mwakiposaa
* Edward Jonas Mpogoro
* Mtela Mwampamba
* Hashimu Komba
* Gift Isaya Msuya
* Jasinta Venant Mboneko
* Ally Nyakia Chilukile
* Faiza Suleiman Salim
* Adam H. Mzee
*Lameck Lusesa
Mwisho.Tunapongeza sana mamlaka za uteuzi kwa kuweka imani hii kubwa kwa vijana. Ahsante Dr.Magufuli kwa kutuamini vijana.
Vijana hawa walipigana kufa na kupona kuhakikisha chama kinarudi madarakani licha ya kuwepo upinzani mkali sana uliotishia "uhai" wa chama,upinzani wa nje na ndani ya chama ulitikisa kweli kweli harakati za kuingia Ikulu kwa mara ya Tano.Juhudi za vijana hawa wakiwa field na mitandaoni zilichangia kwa kiasi ushindi wa CCM.Licha ya matusi na kejeli mitaani na mitandaoni vijana hawakukata tamaa.
Hatimaye uteuzi wa makatibu Tawala wa Wilaya nchini umekumbuka kundi kubwa la vijana waliokuwa mstari wa mbele field na mitandaoni kukipaigania chama.Hongera sana kwa vijana wenzangu ambao mmepikwa na mmeiva kulitumikia Taifa. Nyinyi ni zao la Uvccm na Shirikisho la Vyuo Vikuu. Nendeni mkapige kazi kwa uadilifu mkawatumikie watanzania vyema. Hakika tumefurahi sana. Tunawatakia kila la Kheri katika majukumu yenu mapya.
* Joseph Chitinka Meshack
* Kheri James
* Asenga Abubakar
* Husna Sekiboko
* David John Mwakiposaa
* Edward Jonas Mpogoro
* Mtela Mwampamba
* Hashimu Komba
* Gift Isaya Msuya
* Jasinta Venant Mboneko
* Ally Nyakia Chilukile
* Faiza Suleiman Salim
* Adam H. Mzee
*Lameck Lusesa
Mwisho.Tunapongeza sana mamlaka za uteuzi kwa kuweka imani hii kubwa kwa vijana. Ahsante Dr.Magufuli kwa kutuamini vijana.