Kuna kitu anajiamini ndio maana anafanya na hata hawaogopi USA,sijui kwakuwa wapo karibu..!? Na hakuna vita ambavyo USA apijane na mtu ambaye yupo karibu yake.
Kuna kitu anajiamini ndio maana anafanya na hata hawaogopi USA,sijui kwakuwa wapo karibu..!? Na hakuna vita ambavyo USA apijane na mtu ambaye yupo karibu yake.
Kweli huyu ni proffesional killer kwanini kila Siku tunasikia ni mtu mmoja ndio anafanya Haya..!? Harafu askari wetu wamekua sio rafiki sana na raia ndio maana tunashindwa kuwapata..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.