'SIKU YA JUA' ya North Korea imekaribia; Kim Jong Un yuko fit, ahamisha wakazi 600,000 wa PYONGYANG

Sokoro waito

JF-Expert Member
Nov 21, 2014
2,201
2,598
Tunaendelea kujuzana yanayoendelea kwenye ulimwengu wa kibabe, trh 15 april 2017 itakuwa siku ya jua au ya kuzaliwa kwa baba wa taifa la N. Korea, kama kawaida yao huwa wanafanya mazoezi ya kijeshi na silaha za nyuklia, lakini taarifa zinaonyesha kuwa jana kim Jong Un aliamrisha wakazi wahame mji wa Pyongyang haraka sana, ila jambo linaloleta wasiwasi ni kuhusu jaribio la nyuklia linalodhaniwa kufanywa na jeshi la North korea trh 15 april 2017 lakini je Trump atavumilia bila kuivamia N. Korea? Yetu macho na maombi tu. Source: www.pravdareport.com
 
Kuna kitu anajiamini ndio maana anafanya na hata hawaogopi USA,sijui kwakuwa wapo karibu..!? Na hakuna vita ambavyo USA apijane na mtu ambaye yupo karibu yake.
 
Kuna kitu anajiamini ndio maana anafanya na hata hawaogopi USA,sijui kwakuwa wapo karibu..!? Na hakuna vita ambavyo USA apijane na mtu ambaye yupo karibu yake.
 
Ntafurahi ntakapoona Meli za Marekani zamishwa na makombora ngoja ajaribu kuishambulia Pyongyang
 
Kuna kitu anajiamini ndio maana anafanya na hata hawaogopi USA,sijui kwakuwa wapo karibu..!? Na hakuna vita ambavyo USA apijane na mtu ambaye yupo karibu yake.
Bora umenikumbusha
Nilisahau dunia ni duara!
Kweli USA ni jiran na north Korea
Sujui km ngap?
 
~Naunga mkono atandikwe tu.../ ispokuwa akishamaliza hao mabazazi ahamie huku Africa / wapo watu wamejimilikisha NCHI.
 
Back
Top Bottom