Hivi hii Halotel ina nini?! Au ni kwangu tu...

ze kokuyo

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
7,418
9,599
Wakuu sijui ni kwangu tu au na kwenu pia, yani speed ya huu mtandao imekua zaid ya konokono.
Yani hata kufungua picha za instagram ni shida,huko YouTube ndo usiseme mpk nimeamua kushusha quality ya video mpk 144p lakini bado inaload zaid ya dk.10 na buffering za kutosha.Sijui tatizo ni nini wadau hii hali ni kwangu tu au na kwenu?!
 
mi mwenyewe juzi nimenunua kifurushi cha weekend pack GB 3.8, du niliisoma namba, hakuna kuingia youtube, google wala webpage yoyote isipokuwa FB,Yahoo na JF majanga sana hawa
 
mi mwenyewe juzi nimenunua kifurushi cha weekend pack GB 3.8, du niliisoma namba, hakuna kuingia youtube, google wala webpage yoyote isipokuwa FB,Yahoo na JF majanga sana hawa
Unajiungaje hicho, na ni how much?
 
Duh mbona mnanikatisha tamaa ndo nilitaka niisajili kesho line ya chuo lengo internet na bei chee ya vifurushi.... Mmh ngoja niwe na subira mpaka itapo kaa sawa... Au ni maeneo na maeneo?
 
Hao jamaa ni majanga mno hakuna kitu tena si mjini tu hata vijijini huku napo hali ni sawa.
 
Basi itakua nchi nzima sasa kwa hapa dar mwanzoni ilianza vizuri sana ila siku zinavyozidi kwenda network yao inapungua nguvu sa ivi natumia voda 4g iko poa sana halotel sitaki tena
 
Back
Top Bottom