Recent content by masumbuko dogo

  1. M

    King'amuzi cha DStv

    Ok nimekuelewa...pole saana Mkuu bei yake mbaya...pole
  2. M

    King'amuzi cha DStv

    Kingamuzi hicho cha Dstv kinaitwaje....changu ni version mpya hakina HDMI nilirudisha cha zamani nikapewa hichi bure.natumia Av
  3. M

    Zitto Kabwe: Kahama, Kawe, Ubungo na Segerea wananiomba nigombee ubunge

    Sadaka nzuri ni inayotolewa nyumbani kwanza halafu kwa majirani na baada ya hapo kwa wengine walio mbali.ZZK anasemaje kama kuna sadaka aliyoitoa nyumbani kabla ya kuipeleka kwingine.
  4. M

    Prof. Mwandosya kugombea Urais 2015

    Kama watafanya kura kihalali na wamuweke Prof.Mwandosya........upinzani utapita kilaani tena kwa kusaidiwa na wakongwe na watu maarufu wa chama tawala.Na ujanja ukitumika naona mambo hayatakuwa mazuri.Jingine Prof. Asifanye anatoa hekima ktk bunge kwa kukandamiza upinzani.wananchi wengi ni...
  5. M

    BAVICHA wafanya kituko Butiama, Lissu afukuzwa

    Dini zingine bwana pia zinachekesha kwenda kujengea tiles kwenye kaburi na kuweka mfuniko juu.inakuwa kama chamber ya maji.
  6. M

    BAVICHA wafanya kituko Butiama, Lissu afukuzwa

    Jamani......!!!!! Mzee Warioba alipigwa,Mzee Lubuva naye anaambiwa achape lapa yaani anadhalilishwa.....jamani hawa wazee wanateuliwa ili wanyanyaswe au ili wafanye kazi???? na wote ni wateule wa Mh.Rais
  7. M

    Viongozi cdm mkoa kilmanjaro angalieni vijiji vinavyoomgozwa na cdm

    Ok wakuu wao wameona na watakuja huko maramoja kutatua hilo tatizo kama liko kweli.lakini wachambuzi wa mambo wanasema haiwezekani kabisa kitu hicho kutokea.....anyway ngoja waje wakuu wao na tafadhali uwape ushirikiano kama ni kweli. UBARIKIWE
  8. M

    BAVICHA wafanya kituko Butiama, Lissu afukuzwa

    Jamani........!!! Mwalimu alifanya mengi sana mazuri wakati wake,na mengine hakufanya,na Mw.hakutaka kuwa Mungu hata siku moja.Wengi wetu tumesoma bure kabisa kwa sababu ya uongozi wake uliotukuka.Sasa hivu munatumia jina ka Mw.kinafiki.Mbona watoto wake hawapewi nafasi ya kumiliki mijimali???
  9. M

    Kuelekea uchaguzi mkuu: Mark Mwandosya is the man to watch

    Tatizo la Prof Mwandosya ni kwamba hajuwi FITINA ni bila kipaji hicho ndani ya chama huna lako
  10. M

    BAKWATA na Waislamu toeni tamko kupinga Al Shabaab

    HAKUNA TAMKO........kwani litasaidia... usituletee balaa nenda wewe ukatoe tamko.
  11. M

    Kuna ulazima wa Tanzania kuwa na Shirika la Ndege?

    Wabunge wanakomalia viwanja vya ndege vijengwe kwenye majimbo yao....kama kondoa kiwanja cha nini..dada yetu Mh.Mhita.Msosi tunapiga mmoja tu kwa siku..hiyo nauli ya ma bus ni kazi sembuse ya ndege...kilimo anga ilikufa siku nyingi na ndege yake imeoza pale ARK AIRPORT kama nzige au ndege...
  12. M

    Polisi wakiwawinda watumiaji wa JF, wanaweza wakamata?

    Sawa wataweza endapo jeshi la polisi litatoa nafasi za kazi kwa vijana wetu wanaomaliza chuo waliosomea IT na kuwapa mishahara mizuri na kuwaendeleza kimasomo zoezi ambalo linaweza chukuwa zaidi ya miaka 50 kama tutaendelea kuwa na wabunge wa darasa la saba.
  13. M

    Peter Msigwa aiongoza CHADEMA kushambulia Njombe

    Yaani ZZK is more than an ordinary person.
  14. M

    Gaidi wa kitanzania aliyekamatwa nchini Kenya ahojiwa

    Sasa unakwenda mbali..... hebu jifunze kuacha tabia hiyo.
  15. M

    Gaidi wa kitanzania aliyekamatwa nchini Kenya ahojiwa

    Wacha hiyo Ndugu Mpendwa.
Back
Top Bottom