Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,888
Tale iko katikati ya Sangamela na FM HOTEL ,ulizia utaambiwa
Ulikua unavizia na we akutongoze!?
Tale iko katikati ya Sangamela na FM HOTEL ,ulizia utaambiwa
Msigwa anashinda hapa Njombe bar moja inaitwa TALE na makahaba, huyu sijui mchungaji wa aina gani
Hivi chadema mnajua kuwa hilo jimbo ndo analokuja kugombea Mzalendo Zito
Hivi chadema mnajua kuwa hilo jimbo ndo analokuja kugombea Mzalendo Zito
Hata Yesu alikula na makaba
Hivi chadema mnajua kuwa hilo jimbo ndo analokuja kugombea Mzalendo Zito
Msigwa anashinda hapa Njombe bar moja inaitwa TALE na makahaba, huyu sijui mchungaji wa aina gani
laki si pesa;
Weye ni mkewe Msigwa au?? Tatizo la anachokula au anacho kunywa au anapolala inatuhusu nini?? Kama weye ni mkewe Msigwa, ushauri wetu ni kwamba, umemwacha muda mrefu na unajua halali bila kitulizo.
Mpokee Msigwa weye, umsikilize asemayo kwani ni maneno yenye tumaini kwa kila Mtanzania aliye choka kudanganywa. Ati maisha bora kwa kila Mtz, kumbe Bora maisha. Flana na khanga zenye nembo ya mtu ndio zinakusumbua?
Kaushauri tu; Nenda kawasikilize UKAWA wasemayo kwani yatakufungua akili yako mgando.
Tatizo ni kwamba, Pale watu wanaenda wenyewe uwanjani, utangojea malori saana bila kuyaona, ukifuka mkutano umeisha
ila unatakiwa ukubali kwamba wehu ndiyo asili yenu.
Msigwa anashinda hapa Njombe bar moja inaitwa TALE na makahaba, huyu sijui mchungaji wa aina gani