mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,858
Ndondoo jibu hoja kwa ulinganifu,siasa haitaki hasira kwan mtoa mada amedai hao ndy pekee wanafaa,japo kama ana sifa hakuna anaemzuia..kama wote waona hawafai toa jna la umwonae anafaa ndani ya chama ccm,kumbka hoja inahusu ulinganifu in ccm not otherwise!!