franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,400
- 1,451
Wadau nimekuwa nikijiuliza kwani ni lazima kama Taifa tuwe na Shirika la ndege ? maana kwa sasa hatuna NGUVU KAZI ya KUTOSHA katika SEKTA husika vinginevyo tutashuhudia ajali, delay, cancellation zitakuwa za kumwaga. Ni bora tuwekeze kwenye GESI tuwe na tuna-EXPORT huko Abroad kuliko kung'ang'ania Ndege