Recent content by masulupwete na malapulapu

  1. masulupwete na malapulapu

    Tuwe wakweli, huyu anaweza kumshauri Rais?

    Naomba Moderator au Maxence Melo mnitolee/ futeni picha niliyotuma kwenye huu Uzi kimakosa, niliufuta na kwenye thread haupo Ila bado picha inaonekana
  2. masulupwete na malapulapu

    Weka caption kwenye picha hii

    Mkuu Hilo jina unalotumia, naomba kwa heshima na taathima litendee haki mkuu!! Asantee
  3. masulupwete na malapulapu

    Video na picha za ngono listi inazidi kuongezeka

    Ya sanchi na mama Lwakatare unayo mkuu?
  4. masulupwete na malapulapu

    Tuliotembea umbali mrefu kwa miguu kwa sababu yoyote ile tukutane hapa

    Duuuh, mkuu ulikomaa Sanaa toka Mazimbu, IPO IPO, Modeko,.chamwino, kasanga utoboe Hadi mzumbe,mlali Hadi kufika Mgeta daaah heshima kwako
  5. masulupwete na malapulapu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Duuuh, mkuu umetishaaaa aisee!! Vipi ulikula Tena tunda?
  6. masulupwete na malapulapu

    Tuwe wakweli, huyu anaweza kumshauri Rais?

    Wateule wa jiwe hao, pumba kabisa
  7. masulupwete na malapulapu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu ujanja wote huo umekosea kuoa? Vipi ilikuaje? Saizi unajutia kuoa?
  8. masulupwete na malapulapu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu madogo wanakudanganya hao et military science? Dogo anaangalia muvi za kivita ndo analeta uwongo humu
  9. masulupwete na malapulapu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nikipata muda nitakuja kusimulia kisa Cha kumla mwalimu wangu na kisa Cha trafiki mmoja
  10. masulupwete na malapulapu

    Tunaoingia kazini zamu za usiku tupeane uzoefu na vioja tunavyopitia

    Kazi za usiku changamoto Sana aise, mbu, usingizi, mvua, walozi, na vifaa !! Nilipo huku daah tunapiga kazi at least group la watu 12 Hadi 22 Sasa mgawanyiko unapotokea hapo Ni kufata ishara na maelekezo tu Maana unaweza jikuta matatizoni !! Mvua nayo tabu, afu Ni lazima uwe makini muda wowote...
  11. masulupwete na malapulapu

    Kuanzia leo mimi sio muumini tena wa Kanisa Katoliki

    Mkuu, kila kinachofanywa na muumini / binadamu wa kawaida Basi nawao pia hutanya hao viongozi wetu wa dini, uongo wanasema, uchoyo, urafi, uzinzi, kusengenya, roho mbaya tofauti na sisi Ni Hiyo wao wako kidini zaidi hivyo tunawapa daraja la tofauti
  12. masulupwete na malapulapu

    DOKEZO Hili la maiti kulipishwa madeni Hospitali za Serikali limekaaje?

    Serikali ya wanyonge hiyo[emoji24][emoji24], Pole Sana kwa maswaibu yaliyowafika
Back
Top Bottom