Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,473
- 13,629
Nchi inaendelea kunyooka.Unatunga ngojera nje ya tunayoongelea hapa. Kipimo cha ufinyu wa uwezo wa kujibu hoja.
Hii mipasho pekee ndio mliyobaki nayo huko CCM.
Nchi inaendelea kunyooka.Unatunga ngojera nje ya tunayoongelea hapa. Kipimo cha ufinyu wa uwezo wa kujibu hoja.
Hii mipasho pekee ndio mliyobaki nayo huko CCM.
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, anaweza na amekuwa akifanya...Tupe mfano wa Kiongozi unaye dhani anaweza kuwa na ujasiri wa kimshauri Rais bila kupepesa macho.
sumply ni hivyo vyote.Phillipo, kila mmoja anamjua kiongozi wake yukoje kuliko hata sisi nje. Ukiona huyo yuko hivyo ni mawili.
Bosi wake huyo hana simile anaweza kukutapikisha kazi kufumba na kufumbua au yeye ana makosa mengi kiasi cha kumuogopa kuwa jee kamjua?
Eitha kwa yote mawili, jee anaweza kukaa meza moja naye na kumshauri mkuu wake anapoona mambo hayaendi vizuri?
Ndio msingi wa hoja hii mkuu!
Dodoma kuna matatizo mengi sana kuliko yale yaliyomtoa Dr Kebwe Morogoro. Nahisi huyu alijawa hofu ya kuondoshwa kwenye kiti, sijui kwanini Rais hakuzungukia barabara zinazojengwa jijini Dodoma!Phillipo, kila mmoja anamjua kiongozi wake yukoje kuliko hata sisi nje. Ukiona huyo yuko hivyo ni mawili.
Bosi wake huyo hana simile anaweza kukutapikisha kazi kufumba na kufumbua au yeye ana makosa mengi kiasi cha kumuogopa kuwa jee kamjua?
Eitha kwa yote mawili, jee anaweza kukaa meza moja naye na kumshauri mkuu wake anapoona mambo hayaendi vizuri?
Ndio msingi wa hoja hii mkuu!
Hadi blaza wangu wa suti kachekaWateule wa jiwe hao, pumba kabisaView attachment 1274816
Ilipinda wapi,Nchi inaendelea kunyooka.
Hahaha! Unamaanisha anatumia kizizi?Jiwe ana katabia ka kutembea na hirizi za kuwapiga watu hofu
Nikumbushe alivyoshauriwa kwamba Bashite alizungusha o na anatumia cheti cha mtu alisemaje?Alishauriwa kuna wahuni wengi hawana vyeti akawabutua ndio ndio kutwa mnabwabwaja humu
Ni ushauri gani hataki?
Hahaha! Akili zingine jamani, nmecheka mpaka basi.sasa kama kuna hilizi za hivyo si wasidizi wake wazitafute ili nao wamtie hofu kinashindikana nini tena kama anayo moja wawe nazo nata nane ili akikuona asujudie kabisa mkimzunguka watu kumi mnazo anaachia madaraka kabisa kwa hiari
Wewe umemshauri mama yako kwa nini alikuzaa boga sio mtu??Mwambie amshauli mama yako kwanza
uniwie radhi kwa hilo ila ninavyodhani hofu hutokana na kutojiamini kwa muhusika mwenyewe na sio Hirizi kama huo bwana anavyodhani ndio maana kuna kozi za kujifunza kuongea mbele watu na namna ya kujumuika na watu mbalimbali, huku unaweza kuteuliwa tu bila kuwa na mafunzo yoyote ya namna hiyo sasa unawezaje kukabiliana au kutoa wazo lako mbele ya RaiS zaidi ya kutetemeka.Hahaha! Akili zingine jamani, nmecheka mpaka basi.
Labda ulikuwa mdogo miaka kadhaa iliyopita.Ilipinda wapi,
Huyo Rc?Huyo mbona hata cheti cha form four hana, mitihani ya uwakili hajafanya kuna mtu sasa hapo.
Kwa maoni kama haya unafanya nini JF si ukaimbe singeli?Mwambie amshauli mama yako kwanza